Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,958
- 3,307
Leo acha nilivamie hili jukwaa maana kuna binti yupo kwenye drip ya kutoa sumu mwilini. Nitaruka kwenye hoja moja kwa moja. Kati ya mambo dada zetu hawapati sababu ya msingi ni kwanini wapenzi wao wanaingia mitini wakati mambo yalikuwa mswano kwa level ya kuoana? Sababu zilishatajwa nyingi. Mimi natoa siri mojawapo kwa akina dada.
Unapokuwa kwenye mapenzi mazito mna tabia ya kuwa wawazi mno kwa wanaume wenu mkiamini yalishapita mnaganga na yajayo. Amini nakuambieni kiwango cha wivu wa mwanaume kiko juu kiasi kwamba ukweli wako kuhusu ex na mliyopata kufanyiana, kubakwa, bikra ilivyotolewa, ndugu zako na ndoa zao, n.k vinamwingia sana akilini na kumtafuna kiasi kwamba anaanza kutafuta pa kutokea akiamini au umeshakubuhu au muhanga kisaikolojia na hataki mlemavu wa kimapenz, au kwenu mko vile.
Habari ya yalishapita unayo wewe tu. Jiweke katika ukurasa ambao anayetaka uwe mke wake ajihisi yeye ndio mkubwa na mjuvi wa hii fani kana kwamba umejitunza kweli. Aamini amepata sio amepatwa. SIO KILA SIRI YA YALIYOPITA UMSHIRIKISHE MPENZ WAKO WA SASA.
Karibuni nakuja na siri nyingine ya mwanamke anayetamani kuolewa kujifanya anajua sana mambo ya chumbani tena dhidi ya mme mtarajiwa!
Unapokuwa kwenye mapenzi mazito mna tabia ya kuwa wawazi mno kwa wanaume wenu mkiamini yalishapita mnaganga na yajayo. Amini nakuambieni kiwango cha wivu wa mwanaume kiko juu kiasi kwamba ukweli wako kuhusu ex na mliyopata kufanyiana, kubakwa, bikra ilivyotolewa, ndugu zako na ndoa zao, n.k vinamwingia sana akilini na kumtafuna kiasi kwamba anaanza kutafuta pa kutokea akiamini au umeshakubuhu au muhanga kisaikolojia na hataki mlemavu wa kimapenz, au kwenu mko vile.
Habari ya yalishapita unayo wewe tu. Jiweke katika ukurasa ambao anayetaka uwe mke wake ajihisi yeye ndio mkubwa na mjuvi wa hii fani kana kwamba umejitunza kweli. Aamini amepata sio amepatwa. SIO KILA SIRI YA YALIYOPITA UMSHIRIKISHE MPENZ WAKO WA SASA.
Karibuni nakuja na siri nyingine ya mwanamke anayetamani kuolewa kujifanya anajua sana mambo ya chumbani tena dhidi ya mme mtarajiwa!