Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Kuna member wengi wamebadili Id zao hapa jf...sababu kubwa ni mahusiano ya mtandaoni......Nitawaletea info zaidi soon
Itusaidie nini
Kuna member wengi wamebadili Id zao hapa jf...sababu kubwa ni mahusiano ya mtandaoni......Nitawaletea info zaidi soon
Safari ya kikazi nimepigiwa simu sahivi teh....
Nitarudi....
Nimepata safari ya wiki mbili sitakuwepo jf kuanzia sasa
goodbye.....
Umbea si kazi,kazi kusutwa!!!
hmmn twinii wacha tusikie
Usihofu mkuu kuna kina dada wameliwa sana umu...Na hapa wanapita viroho vinadunda maana leo nawalipua.
Kumbe JamiiF yakuogopwa zaidi ya Dengua' kumbe watu wanaliwa humu? Mnyama gani anawala hao wadada?
Safari ya kikazi nimepigiwa simu sahivi teh....
Nitarudi....
Wameliwa pesa au mtandao wao uleNi kitu gani kimekusukuma ufikirie wanaoliwa ni kina dada tu? Tunapozungumzia kuliwa ni pamoja na kuingizwa mjini baada ya kutuma hela kupitia mpesa na tigo pesa. Kwa taarifa yako wengi wanaojifanya vidume humu JF ndio wameliwa kishenzi.
Wewe mfumo dume bado unakuangaisha kwenye kichwa chako.
Tiba
Hapana sitakuwepo tu jf naona Hali si hali hapa.....Kwani ni wapi huko uendako ambako hakuna internet kiasi cha kwamba huwezi kupata internet connection?
Tiba
Eti mwenzenu mimi sioni kama tunaweza kujenga uchumi imara bila kuwa wazalishaji. Biashara sioni kama ni muhimili wa jishikilia.
Mimi nikiangalia nchi nilizochagua (sijui zingine) zimepanda kwa kusimamia vizuri rasilimali zake. Baada ya hapo biashara inakuja tu bila kupenda.
Mfano China ni mkakati mkubwa sana wa kilimo, viwanda vikubwa na migodi.
Urusi wali identify resources zao kama madini nk.
Marekani Waarabu, South Afirica etc.
Kwa kweli tusipokuwa wakweli kwa nafsi zetu tutaumbuliwa hadharani vibaya sana kama huu mradi wa TANESCO ambao hata hauvutii kujadili.
Wafanya biashara watakuja tu, serikali iweke mkazo kwenye uzalishaji.
Resources zetu ni ardhi kwa kilimo madini na mifugo pia utalii.
viwanda vitokane na hayo na visimamiwe na waadilifu wakijua hapo ndio pa kujengea nchi au pa kuiulia.
Ningependekeza jina la nchi yetu lijulikane kwa umaarufu wa hayo yote. Kila moja na uzito wa kutosha.
Mfano wasiwepo watu wasio na uwezo katika hizo sekta, kwa sasa panatakiwa uwajibikaji wa haraka na ufanisi wa hali ya juu kujitoa shimoni zilipo na kuanza kupanda.
Chonde chonde wanasiasa sikilizeni wataalamu,
Hapana sitakuwepo tu jf naona Hali si hali hapa.....