mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Waungwa habari zenu.
Naomba nitowe darasa fupi na ni muhimu kulizingatia kwa kila mtu ambaye atahitaji kudumu katika mahuziano ama ndoa yake.
Kuna vitu vikuu 3 ambayo vinahitajika kila mtu avifanye kwa mwenza wake ili mapenzi ama ndoa idumu.
1. Utulivu
Utulivu ni jambo muhimu kwa wapendanao na utulivu mara nyingi hutolewa na Mwanamke kumpatia Mwanaume ingawaje na Mwanaume nae ana haki ya kumpa utulivu mke wake
Mume hurudi kazini ama katika mihangaiko ana vikwazo vingi ambavyo kakumbana navyo mpe maneno mazuri ya kumpa moyo na ya kumtoa machungu aliokutana nayo huko alikotoka
2. Mapenzi
Ni wengi wanaweza kua wagumu ukisema sehemu ya mapenzi lakini mapenzi ni hali ya kufurahisha ambayo hufanyiana wale wapendanao hapa kikuu inakua ni tendo la ndoa.
Tendo la ndoa ni jambo la msingi sana linaloimarisha mahusiano bila ya tendo la ndoa mahusiano hayo hayana maaana kwa hio kila upande ujitahidi kumpa mwenzie kila kilichokua kizuri kwa lenho la kua aridhike na yeye pia kumakarimu mwenza wako kwa kila utakachojaali wa na mungu.
3. Huruma
Bila shaka kila mtu anahitajika kumuhurumia mwenziwe kwani sote tunahitajiana na siku zote nafai inampenda yule anaitendea wema kwa hio huruma ni
Kumuhurumia mwenzako anapokutwa na majanaga na pale ambapo hali ya jambo fulani sio sawa isiwe badala ya wewe kua kimbilio lake wewe ndio unakua adui kwa kumfanya mwenzako kama mtaji ama kumfanyisha kazi na majukumu yasiokua saizi yake hiii huvunja upendo.
Hio ni kwa ufupu vitu ambavyo vinabitajika katika mahusiano mbila ya hivyo hakuna mahusiano.
Na hadi katika maandiko yamo wanawake yatumie ni yatakusaidieni.
Naomba nitowe darasa fupi na ni muhimu kulizingatia kwa kila mtu ambaye atahitaji kudumu katika mahuziano ama ndoa yake.
Kuna vitu vikuu 3 ambayo vinahitajika kila mtu avifanye kwa mwenza wake ili mapenzi ama ndoa idumu.
1. Utulivu
Utulivu ni jambo muhimu kwa wapendanao na utulivu mara nyingi hutolewa na Mwanamke kumpatia Mwanaume ingawaje na Mwanaume nae ana haki ya kumpa utulivu mke wake
Mume hurudi kazini ama katika mihangaiko ana vikwazo vingi ambavyo kakumbana navyo mpe maneno mazuri ya kumpa moyo na ya kumtoa machungu aliokutana nayo huko alikotoka
2. Mapenzi
Ni wengi wanaweza kua wagumu ukisema sehemu ya mapenzi lakini mapenzi ni hali ya kufurahisha ambayo hufanyiana wale wapendanao hapa kikuu inakua ni tendo la ndoa.
Tendo la ndoa ni jambo la msingi sana linaloimarisha mahusiano bila ya tendo la ndoa mahusiano hayo hayana maaana kwa hio kila upande ujitahidi kumpa mwenzie kila kilichokua kizuri kwa lenho la kua aridhike na yeye pia kumakarimu mwenza wako kwa kila utakachojaali wa na mungu.
3. Huruma
Bila shaka kila mtu anahitajika kumuhurumia mwenziwe kwani sote tunahitajiana na siku zote nafai inampenda yule anaitendea wema kwa hio huruma ni
Kumuhurumia mwenzako anapokutwa na majanaga na pale ambapo hali ya jambo fulani sio sawa isiwe badala ya wewe kua kimbilio lake wewe ndio unakua adui kwa kumfanya mwenzako kama mtaji ama kumfanyisha kazi na majukumu yasiokua saizi yake hiii huvunja upendo.
Hio ni kwa ufupu vitu ambavyo vinabitajika katika mahusiano mbila ya hivyo hakuna mahusiano.
Na hadi katika maandiko yamo wanawake yatumie ni yatakusaidieni.