wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
Mfano wa dunia ni kama ule mwezi au jua usifosi tufanane na mawazo yako
uko sahihi...
Mfano wa dunia ni kama ule mwezi au jua usifosi tufanane na mawazo yako
hahahahhaa usirudie kupanda Bombadier.....vioo vyake vina shidaMimi nawaambia dunia ni shimo....!
-----
Wala siyo flat. Kulijua hili, ni kupanda vindege vidogo wakati wa clear sky (hakuna mawingu) na kindege hicho kiruke futi zaidi ya elfu 25 katika eneo la bahari. Chungulia dirishani na utazame chini karibu kabisa na usawa wa ndege hiyo. Kisha anza kutazama hapo na kuelekea upande wa upeo wa macho yako kwa msitari fikirishi ulionyooka. Kwa haraka utagundua dunia ni shimo. Tena shimo la mviringo.
Kama ni suala kupiga kura, juu ya post ya kwanza ongeza kipengere kingine cha dunia ni shimo.
MKuu hawa watu sijui wanatumia bangi gani yani wanatuambia kuna barafu ushahidi picha za photoshopInamaana binadamu kashindwa kufika huko mwisho wa barafu au? Na kama amefika kwanini picha zake hakuna? Hicho kitu hakipo
unazani wana majibu baisi furahisha genge tuKwa mfano hizo barafu ambazo ndo ukingo wa dunia zikiyeyuka ukaendelea na safari mwisho wake utakuwa wapi?
Mkuu haupo serious kama kweli unachunguza nyota utajua zinabadilika pia unaweza fuatilia mienendo ya sayari ambazo tunaweza kuziona toka huku dunianiKama dunia inazunguka kwanini kila cku naona nyota hizo hizo haibadiliki kwa zaidi ya miezi 5
Mkuu haupo serious kama kweli unachunguza nyota utajua zinabadilika pia unaweza fuatilia mienendo ya sayari ambazo tunaweza kuziona toka huku dunianiKama dunia inazunguka kwanini kila cku naona nyota hizo hizo haibadiliki kwa zaidi ya miezi 5
Brother, usipende kuamini mafundisho yote ya mzungu, nilijiwekeza muda kufuatilia nyota, na nikachagua nyota kadhaa zikizokaribina. Amini usiamini nyota hazibadiliki, only they change angle..kwa maana..kwa muda huo huo utaojiwekea kuzifatilia...leo utaziona nyuzi 90..baada ya siku kadhaa utaziona 110, Mara 60 Mara 40...lakini utaziona. Trust me..Mkuu haupo serious kama kweli unachunguza nyota utajua zinabadilika pia unaweza fuatilia mienendo ya sayari ambazo tunaweza kuziona toka huku duniani
Ulitaka zibadilike baada ya muda gani??? Siku moja? Siku tano? Wiki? Mwezi etc....Kama dunia inazunguka kwanini kila cku naona nyota hizo hizo haibadiliki kwa zaidi ya miezi 5