Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,984
Da MangeWho is mange?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da MangeWho is mange?
Kuna mmoja hapa wa alliance ananiwinda ngoja nimpige kufuri kabisa.....
Ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndie fursa.
It does not take a genious to realize that. It wont even pass an ordinary man's smell test.
Huhitaji rocket science kuelewa kua kuna utapeli wa wazi kabisa.
View attachment 696264 kaorodhesha hapo kama upo instagram nadhan utakuwa umeona makampuni aliyotaja na forex ikiwemo
siyo mchezoUkiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndie fursa.
It does not take a genious to realize that. It wont even pass an ordinary man's smell test.
Huhitaji rocket science kuelewa kua kuna utapeli wa wazi kabisa.
Keshasema most of forex ni utapeli
Ukiza waliounguza akaunti watakuambiaJustify it how ??
Anataka akanipige brush ya training hajui nishamshitukia kweli njaa mbaya sana....Anakuwinda akupeleke wapi my dia
Mbadilishie mada umgonge usimuache bureeAnataka akanipige brush ya training hajui nishamshitukia kweli njaa mbaya sana....
Yaani kuna mdada mzuri alinirequest Facebook mimi bila hiyana nikamkubalia eeh bhana haikuchukua hata sekunde huyo inbox eti kuna mchongo anataka anipe wa kupiga pesa chap....
Fasta bila kupoteza muda nikaenda kwenye profile kumchunguza ni wale alliance nikaishia kufurahi nimechat nae mara akatuma namba then akaniomba na za kwangu bila ubishi nikampa kwa kuwa nipo safari nilimwambia nitarudi jijini after two week naona kashaweka na appoitnment kabisa hapa akinitafuta akijitambulisha tu na block sitaki usumbufu kabisa
Kubet hoyeeeeeeKumbe mpaka Da Mange kasifia huu mchezo, wallah siach kubet
Kuna ubaya gani? Mtafute Ontorio alipo ampinge mangeHuyu dada huwa hasomi,hizo kapewa na mtu na yeye kaandika
AhahahahahhKuna ubaya gani? Mtafute Ontorio alipo ampinge mange
Mambo ya usumbufu huwa sipendi kabisa .... Sio mtu wa kwanza huyu wa kwanza kwa kuwa nilikuwa naheshiana nae ikabidi niitikie wito tukaenda mahali naona anaishia kunicholea ma tree diagram kibao kwamba nikiwa serious ndani ya miezi kadhaa nitakuwa na mkwanja nitoe kiingilio cha kama laki tano hivi nikaitikia sawa.....
hawa watu noomaa!mi mwenyewe yashanikuta hayo!Mambo ya usumbufu huwa sipendi kabisa .... Sio mtu wa kwanza huyu wa kwanza kwa kuwa nilikuwa naheshiana nae ikabidi niitikie wito tukaenda mahali naona anaishia kunicholea ma tree diagram kibao kwamba nikiwa serious ndani ya miezi kadhaa nitakuwa na mkwanja nitoe kiingilio cha kama laki tano hivi nikaitikia sawa.....
Baada ya hapo aliishia kunitafuta sipokei wala sijibu text zake ndio ukawa mwisho wa urafiki wetu.....
Mange keshasema ukiitwa sehemu utoe kiingilio kimbiaaaaaMambo ya usumbufu huwa sipendi kabisa .... Sio mtu wa kwanza huyu wa kwanza kwa kuwa nilikuwa naheshiana nae ikabidi niitikie wito tukaenda mahali naona anaishia kunicholea ma tree diagram kibao kwamba nikiwa serious ndani ya miezi kadhaa nitakuwa na mkwanja nitoe kiingilio cha kama laki tano hivi nikaitikia sawa.....
Baada ya hapo aliishia kunitafuta sipokei wala sijibu text zake ndio ukawa mwisho wa urafiki wetu.....
Halafu members wanajipa moyo kuwa ipo siku watatoboa... Naona yale mapicha mapicha ya kwamba watu wanapata trip sijui za kwenda ufilipino kwa kina Yuri na lady butterfly zinawachachasha akili kwelikweli.....hawa watu noomaa!mi mwenyewe yashanikuta hayo!