Siri imefichuka: Mishahara ya Wabunge wa Tanzania ni kuanzia milioni 11 kwa mwezi

Habari wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing
Sio siri, sema ulikuwa hujui. Mbona hiyo hongo ni ya tangu muda mrefu? Unadhani zile ndioooooooooooo ni za bure? Wanalipiza.
 
Kijijini kwetu hata "MWENYEKITI WA KIJIJI" hajawahi kumiliki hio Millioni 11, pamoja na kumiliki duka pekee kijijini sambamba na kufanya kilimo na ufugaji maisha yake yote.

Akipewa hio hela anaweza akachanganyikiwa na tukaishia kumfunga kamba. Tukaishia kumpeleka kwa "MGANGA" akatibiwe akili.
Licha ya kupewa, hata siku ya kuapa atatetemeka.
 
Habari wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing
alafu yule namba moja si alisema ni 6M kwaio anataka kutuambia yuko chini ya wasaidizi wake?
 
Sijawahi kujua kwa nini mbunge alipwe mshahara months, yaani sawa na mwalimu au daktari ambao wako kazini daily... Angalia mbunge kama Abood pale Moro, yuko tu bize na biashara zake, ukiondoa few months wanazoenda mjengoni, yuko na biashara zake tuu.
 
Hiyo hela ni ndogo. Miaka yake miwili ya kwanza anafidia madeni ya uchaguzi. Hiyo mitatu inayobaki hafikishi 1bn. Kama anarudi tena utakuta hajapiga hatua unless kuna biashara ya maana au uwekezaji mkubwa kafanya. Au katumia goodwill kama mbunge akapata gedha sehemu nyingine
Una akili finyu sana... Unajua mwalimu mshahara wake?
 
Habari wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing

Mbona inajulikana mzee mishahara serikalini na ya viongozi hakuna Siri, sema wewe ndio umechelewa kuifahamu
 
kweli kabisa nchi hii masikini bado kuna baadhi ya wafanyakazi wanalipwa 10m kwa mwezi!!!!!!!
Mhe. Rais Magufuli litazame hili kama ulivyo punguza kwa watu wa madini standadize mishahara ya watumishi ili pawepo angalau na ulinganifu.
wizara husika lifanyieni kazi hilo, nchi hii bado haijafikia kiwango cha kulipana mihela hiyo wakati wananchi vijijini hawana maji wala dawa hii hata Mungu hapendi.
 
Habari wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing
Hiyo wala siyo jambo jipya, KWA HIYO SIYO SIRI, watu wote, ila wewe, tunajua mishahara ya wabunge kwani ni mara nyingi tu wamekuwa wakiisema hadharani; hata wakati wa sakata la Mwenyekiti Mbowe kuwachangisha wabunge wa CHADEMA, hili lilisemwa na wakataja hiyo mishahara yao hadharani. Siyo siri ndugu hiyo!
 
Back
Top Bottom