Siri imefichuka: Kiunganishi kikuu cha maendeleo ya Kigoma siyo Zitto Kabwe ni Dkt. Phillip Mpango

Tangu jana mbunge wa Kigoma mjini aliyemaliza muda wake Zitto Kabwe amekuwa akitamba mitandaoni kwamba yeye ndio kiuanganishi kikuu cha maendeleo ya Kigoma kwa nafasi yake kama mbunge tangu enzi za Rais Kikwete.

Ukweli uliothibitika kutoka kwa mkuu wa nchi Rais Magufuli ni kwamba Dkt. Mpango ndiye amekuwa akiratibu mambo mengi ya maendeleo ya mkoa wa Kigoma.

Maendeleo hayana vyama

cc: Zitto Kabwe
Bwashe maendeleo ya Kigoma hayakuanza ktk nyakati ya uwaziri wa viti maalum ya Mpango, wacha kupotosha. Kigoma ilikuwepo na maendeleo yake toka enzi na enzi
 
Tangu jana mbunge wa Kigoma mjini aliyemaliza muda wake Zitto Kabwe amekuwa akitamba mitandaoni kwamba yeye ndio kiuanganishi kikuu cha maendeleo ya Kigoma kwa nafasi yake kama mbunge tangu enzi za Rais Kikwete.

Ukweli uliothibitika kutoka kwa mkuu wa nchi Rais Magufuli ni kwamba Dkt. Mpango ndiye amekuwa akiratibu mambo mengi ya maendeleo ya mkoa wa Kigoma.

Maendeleo hayana vyama

cc: Zitto Kabwe
Zitto ni muongo sana
 
Ukweli uliothibitika kutoka kwa mkuu wa nchi Rais Magufuli ni kwamba Dkt. Mpango ndiye amekuwa akiratibu mambo mengi ya maendeleo ya mkoa wa Kigoma.
Huwezi kutenganisha maendeleo ya mkoa wa Kigoma na ubunge wa Zitto Zuberi Kabwe. Panga pangua Zitto amekuwa kiungo muhimu cha kutetea na kupigania maslahi ya mkoa wa Kigoma kuliko mbunge yoyote wa mkoa huo
 
Unapafahamu Buhigwe lakini wewe....acha kudanganya watu... Zitto ni Kigoma na Kigoma ni Zitto. Sijawahi mkubali kwa baadhi ya mambo ila amepafanya Kigoma kuwa tofauti. Wakati nyie mnatishiwa taa na rami za mitaani Kigoma zipo. Hebu kukubali basi japo kwa machache mtu kafanya. Hongera Zitto kwa kuifanya Kigoma kuwa ilivyo leo
Kwa maendeleo ya Kigoma Zitto ana-desrve credit
 
Tangu jana mbunge wa Kigoma mjini aliyemaliza muda wake Zitto Kabwe amekuwa akitamba mitandaoni kwamba yeye ndio kiuanganishi kikuu cha maendeleo ya Kigoma kwa nafasi yake kama mbunge tangu enzi za Rais Kikwete.

Ukweli uliothibitika kutoka kwa mkuu wa nchi Rais Magufuli ni kwamba Dkt. Mpango ndiye amekuwa akiratibu mambo mengi ya maendeleo ya mkoa wa Kigoma.

Maendeleo hayana vyama

cc: Zitto Kabwe
Unahisi rahisi atasema zitto ndio kiungunishi Kwa kipindi hiki
 
Tangu jana mbunge wa Kigoma mjini aliyemaliza muda wake Zitto Kabwe amekuwa akitamba mitandaoni kwamba yeye ndio kiuanganishi kikuu cha maendeleo ya Kigoma kwa nafasi yake kama mbunge tangu enzi za Rais Kikwete.

Ukweli uliothibitika kutoka kwa mkuu wa nchi Rais Magufuli ni kwamba Dkt. Mpango ndiye amekuwa akiratibu mambo mengi ya maendeleo ya mkoa wa Kigoma.

Maendeleo hayana vyama

cc: Zitto Kabwe
Bhagabo; huku kwetu ukisema Kigoma unamsema Zitto na ukisema Zitto unaosema Kigoma. Hivyo Magufuli leo kamtaja Zitto tangu mwanzo wa kampeni mpaka mwisho! Maendeleo yote unayoyaona Kigoma ni ya Zitto na kwa taarifa yako Zitto keshashinda ubunge!! Hizi siasa anazofanya Pogba ni ujinga mtupu!
 
Wewe mtoa hoja sikiliza
Kigoma inayo majimbo 8 ya uchaguzi
Mwajimbo 7 yanaongizwa na wabunge wa CCM.
Jimbo 1 tu yaani Kigoma mjini ndilo linaongozwa na ACT-Wazalendo.

Mpango ni mtu wa Kasulu Manyovu(Buhigwe)

Zitto ni mtu wa ujiji


Sasa palipoendelea sana kwa walau kupendezesha mji ni Kigoma Ujiji,Kasulu wao wanalia na vumbi lao


Mpango angekuwa na msaada angeanzia kwao,lkn hata lami hakuna,umeme hakuna na maji wanakunywa yenye tope.

Zitto ni Kigoma na Kigoma ni Zitto.
 
Tangu jana mbunge wa Kigoma mjini aliyemaliza muda wake Zitto Kabwe amekuwa akitamba mitandaoni kwamba yeye ndio kiuanganishi kikuu cha maendeleo ya Kigoma kwa nafasi yake kama mbunge tangu enzi za Rais Kikwete.

Ukweli uliothibitika kutoka kwa mkuu wa nchi Rais Magufuli ni kwamba Dkt. Mpango ndiye amekuwa akiratibu mambo mengi ya maendeleo ya mkoa wa Kigoma.

Maendeleo hayana vyama

cc: Zitto Kabwe
20200918_173840.jpg
 
Wewe unaejielewa hujui kuelewa na pengine unashangaa inakuwaje...wale wana halmashauri...lakini nikusaidie tu hebu waulize nduguzo hiyo miundombinu imejengwa kwa fedha za nani? Pengine itakusaidia kujifunza na kujielimisha.
Sio kila kitu kinatoka kwa kodi yako.
Ukijua chanzo cha fedha, njoo tuelimishane sasa kuwa nani alikuwa kuwadi kwenye hilo.
Umeongea utopolo. Kipato Cha ndani cha manispaa, jiji au halmashauri kinasimamiwa na Baraza la madiwani huku meya au mwenyekiti wa Baraza akiwa responsible. Mbunge ni sehemu tu ya Baraza na Hana maamuzi yoyote isipokuwa ushawishi. Tena kwa kipindi hiki Cha magu mapato y ndani ya halmashauri kwa 75% yalipelekwa hazina na kupangiwa kutoka huko. Na mtekelezaji mkuu wa mipango ya bajeti ya halmashauri ni mkurugenzi wa halmashauri husika ambao NI wanatumikia serikali ya ccm, haya niambie hapo mbunge zito anatia pua yake wapi hapo. KWAFAIDA YAKO, HAKUNA MBUNGE ATAKAYEJINASIBU AMELETA AU ATALETA MAENDELEO JIMBONI KWANI MBUNGE HABA BAJETI WALA MAAMUZI. MAENDELEO YANALETWA NA SERIKALI BAADA YA KURIDHIA MPANGO WA HALMASHAURI HUSIKA.
 
Unapafahamu Buhigwe lakini wewe....acha kudanganya watu... Zitto ni Kigoma na Kigoma ni Zitto. Sijawahi mkubali kwa baadhi ya mambo ila amepafanya Kigoma kuwa tofauti. Wakati nyie mnatishiwa taa na rami za mitaani Kigoma zipo. Hebu kukubali basi japo kwa machache mtu kafanya. Hongera Zitto kwa kuifanya Kigoma kuwa ilivyo leo
Rami mpka maweni, acha kabisa.
 
Tangu jana mbunge wa Kigoma mjini aliyemaliza muda wake Zitto Kabwe amekuwa akitamba mitandaoni kwamba yeye ndio kiuanganishi kikuu cha maendeleo ya Kigoma kwa nafasi yake kama mbunge tangu enzi za Rais Kikwete.

Ukweli uliothibitika kutoka kwa mkuu wa nchi Rais Magufuli ni kwamba Dkt. Mpango ndiye amekuwa akiratibu mambo mengi ya maendeleo ya mkoa wa Kigoma.

Maendeleo hayana vyama

cc: Zitto Kabwe
Zitto anaunganisha nini na nini?. JPM tano tena.
 
Sasa mbona Ndalichako analalamika wananchi wa Kigoma wanakunywa waji ya matope??

Ni maendeleo gani hayo?
 
Tangu jana mbunge wa Kigoma mjini aliyemaliza muda wake Zitto Kabwe amekuwa akitamba mitandaoni kwamba yeye ndio kiuanganishi kikuu cha maendeleo ya Kigoma kwa nafasi yake kama mbunge tangu enzi za Rais Kikwete.

Ukweli uliothibitika kutoka kwa mkuu wa nchi Rais Magufuli ni kwamba Dkt. Mpango ndiye amekuwa akiratibu mambo mengi ya maendeleo ya mkoa wa Kigoma.

Maendeleo hayana vyama

cc: Zitto Kabwe
Pumba Kama hizzi zinakera nakiudhi kwa hiyo Hakuna mipàngo ya Maendeleo ya Kigoma bila Dk Mpango....eti siri?!Ujuha mkubwa!
 
Back
Top Bottom