Hao hawana filter lolote linalokuja akilini wanaliropoka mdomoniNafikiri hii mada haiwahusu wale dada zetu wanaovaaga madira haswa Yale ya rangirangi halafu wanayachomeka kwenye pichu..
Hao hawatunzi siri hawana hizo mbavu..🤣
Najua basi mkuu nimekutana nayo tu sehemu nimeiiba
Pazuri sana kwakweliNajua basi mkuu nimekutana nayo tu sehemu nimeiiba
Najua basi mkuu nimekutana nayo tu sehemu nimeiiba
😄😄😄 akomae na kibamia.Usimwambie kuwa ana maumbile madogo hata kama ni kweli.
Hapana. Siyo hivyo. Anaweza kuambiwa ana maumbile makubwa hata kama siyo kweli.😄😄😄 akomae na kibamia.
Hapana. Siyo hivyo. Anaweza kuambiwa ana maumbile makubwa hata kama siyo kweli.
nimekuelewa vema best....😁Evelyn Salt - seems you are the only person who understood the joke.