Sipokei simu yenye namba nisiyoijua: Hii tabia imemkosesha jamaa ulaji wa nguvu!

Nimepata akili hapa ipo haja ya kuanzisha hata ngo yangu niwaelimishe watu juu ya mawasiliano lol. .

Smile. . hapo umewagusa sema wenzetu si washambuliaji sana kama si wanawake tukiguswa kitu moja kwa moja namna hiyo! Ila wenzetu mawasiliano hata kweny relationship ni vurugu!
 
Hiyo kazi haikua rizki yake....

Waswahili tuna taabu sana. unakuta mtu analewa chakali halafu anaendesha gari, akipata ajali na kufa utawasikia siuku zake zilifika, bahati mbaya. Yaani hatuweoni kabisa kuwa mambo mengine ni matokeo ya iresponsibilities zetu, mweeeeeee! Usikute hata ufisadi unaoendelea TZ watu mnaona ni mapenzi ya Mungu tu, kwi kwi kwiiii, mweeee!
 
i wish hisani ya watu wa marekani ije iwafanyie wanaume course ya communication skills maana hali zenu mbaya

wanaume wengi tz communication skills ni ziro

wanaume wa kibongo hao
hapo alishasema kwa wenzie kuna demu ananisumbua na mimi simfagilii

Nimepata akili hapa ipo haja ya kuanzisha hata ngo yangu niwaelimishe watu juu ya mawasiliano lol. .

Smile. . hapo umewagusa sema wenzetu si washambuliaji sana kama si wanawake tukiguswa kitu moja kwa moja namna hiyo! Ila wenzetu mawasiliano hata kweny relationship ni vurugu!

Nyie leo vipi, mbona hivyooo? mhhhhhhhhhh!
 
Atakula jeuri yake aende akafanye interview tena mara ya pili na kuomba msamaha. Awadanganye wazungu kuwa wakati anapokea sim alikua amelala kwa sababu hana ajira.
 
Nyie leo vipi, mbona hivyooo? mhhhhhhhhhh!

Hahahaaa potezea ndyoko hili lako mi nakubali wote tu matatizo kwenye mawasiliano yapo hata kwa wanawake wa sipokei simu nisiyoijua? wapo! kwenye mapenzi sijui kwa nini nahisi wanaume naona ndo wana shida ya commun. . majibu yetu huwa ni kususa na kununa kama baadhi ya watu ambavyo wameshajadili hapa!
 
wengine wana madeni.

Hawa ni wengi na ukichunguza wana multiple problems kwenye jamii! ukifikia hatua hupokei simu sababu ya madeni mana huna hata simu za muhimu kwako ni hatari sana ujanja wa kijinga!
 
Wapo wengi hawa mi nna rafiki yangu anatabia nimeshamwonya sana lakini wapi, kuna siku nikamcall kwa no asiyoijua ili aende akachukue mzigo wake nilipiga mpaka nikashikwa hasira hakupokea na mzigo ukapitiliza hivyo aliingia gharama ya kuuagiza tena. Ni aina ya maisha ya uhalifu nadhani.
 
tofauti ya sisi na wazungu kwenye kupokea simu za mkononi au ofisini ....mzungu anapopokea simu anaanza na utambulisho (Mr .X is Speakinn ,na upande wa pili ;Mr .X of...... is speaking)...hapa kwetu ni hallo wewe nani? ...ila wakati mwingine inakera mtu aanakupigia simu halafu anajua huna namba zake ananza tu na "wewe nani?" hlf hapo hapo anakutuhumu eti umembeep wakati mtu hujawahi kubeep hata siku moja au mbaya zaidi ndiyo akuambie ni wrong number.
 
Tatizo visistaduu vingi umeshaviliza, sasa vinakutafuta, kila namba unahisi ndo yeye, wadada punguzeni usumbufu, just accept the break ups easily mbona tutapokea sana simu, but the best options to have corporate number and number for ladies, ili utofautishe simu muhimu na simu vimeo, college girls wasumbufu sana through phones
 
Hiyo kazi haikua rizki yake....

Nani kakwambia? Wewe bado unaamini riziki ni ya fulani , si ya fulani!? Katika ulimwengu huu wa sasa? Yaani mtu anashindwa kujipozisheni halafu tunasema sio riziki yake? Kumbe ni ya nani; wakenya, waganda? Usirudie tena!
 
du! hayuko serious huyo! yaani ingekuwa ni mm hasa kipindi hichi cha hakuna ajira..huwa napokeaga namba ncizozijua fasta nahisi labda huenda ikawa naitwa kwa interview sumbuse huyo alieshafanya interview! ningeipokea huku napiga magoti.....
 
Back
Top Bottom