Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,988
- 69,380
SUREBora tumuache tu atajionea mwenyewe
SUREBora tumuache tu atajionea mwenyewe
HUYU INABIDI AJE AJIONEE UHALISIAhongera kwa kuwa na pa kula na pa kulala - endelea kutafuta hiyo take home yako - karibu kwenye soko la ajira !!
aje aone uhalisiatumuache
TUMUACHE AONE UHALISIAMwambie tuu
Mlio nnje ya fani yazege hamhui ukweli hata yazege yakutafuta natochiSasa hivi unaweza kujikuta kwenye kazi ya kubeba zege ni wewe tu ndo huna degree
Ndugu kuna kazi mshahara mdogo marupurupu ni mengi zaidi ya mshara,na unaweza usiuguse mshahara wako were dharau hiyo ndogo wakati hujui mbele yake kuna nini?Ndugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
Mkuu itandike hiyo degree na vyeti vingine ukutani.Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Umeongea ukweli mtupu mkuu shida ya sisi vijana tunataka mafanikio chap chap kama ana mtaji apige business zake sema kwanini tukianza kula hizo 2.5m 4m madili yanakufa asee tumelogwaMy first job ass teller nilianza na 500000,take home nikawa nachukua 395000,Kama sikosei baada ya probation take home ikawa 425000,baada ya miaka miwili ilipanda Hadi 500000,nikapata promotion kutoka teller Hadi digital/agency banking nikapanda Hadi 990000 take home after plus bonas,allowance,per diem nilikua nachezea Hadi 2m ndo hivyo tenaa kibaru kikaota nyasi,ilaa usitegemee kuanza kulipwa milioni kwa first ajira never,lazima uprovuuu je ulicho nacho kina hazi ya kulipwa 1000000,Tena wewe utapewa loan officer,usiombeeee itakutokea puani.utatembea na jua na mvua,utakutana na sisi wabishi wakulipaa madeni ndo utaelewa
Kumbe ni wa kike ww... Ndio maanaNdugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
Ungekua na akili ungesoma engineering au medicine sio izo course za third class !!Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Subiri loan boad watakupa akili watakapoanza kukumbusha kulipa makayo yao ya mwezi ambayo hujui unaipata wapi na lini!Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Umechagua nji sahihi sana!.NakupongezaUkitaka yote hayo jiajiri mwenyewe utapata hayo unayoyataka. Mm nimeamua kujiajili na si haba napata faida ya kuanzia laki 6 hadi milioni kwa mwezi na mda mwingine inazidi
Majibu ya Wanawake🤣🤣🙌Kuna mtu alikuitia ajira huku?
We subiri baada ya miezi sita utakuja ufuta huu Uzi hapa na kuomba hata kazi ya kufagia kwa mama lishe.
Hata jio ni ndogo sana maana hapo unazungumzia kama basic ya 2mMie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.