Sipendi wanaume msiooga

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Jamani kuna wanaume wengine wanarudi majumbani mwao
wakifika ni chakula wakila ni ndani kitandani ukiwaambia jamani
uogi aaaapana mpaka asbh,uko ndani usiku ni kero ukifikiria kumpa
mgongo wa nne shida ni taabu tupu jamani
kama we ni mwanaume wa jinsia hiyo acha jitahidi uoge mkifika kwenda kullala
hata kama wanawake zenu awapigi kelele mjue wanateseka jamani
okoa maji
oga usiku
 
Jamani kuna wanaume wengine wanarudi majumbani mwao
wakifika ni chakula wakila ni ndani kitandani ukiwaambia jamani
uogi aaaapana mpaka asbh,uko ndani usiku ni kero ukifikiria kumpa
mgongo wa nne shida ni taabu tupu jamani
kama we ni mwanaume wa jinsia hiyo acha jitahidi uoge mkifika kwenda kullala
hata kama wanawake zenu awapigi kelele mjue wanateseka jamani
okoa maji
oga usiku

Badilisha title ya thread isomeeke hivi. "sipendi tabia ya mume wangu ya kutokuoga inanikera"
 
Badilisha title ya thread isomeeke hivi. "sipendi tabia ya mume wangu ya kutokuoga inanikera"
Mkuu nafikiri yupo sahihi, anawanaume kadhaa na wote wanamkera kwa kutooga usiku
Laki yy bado yumo tu, hawaachi wala nn
 
Hata asipooga inakuhusu nn? Kataa na mshiko wake basi. Inafika muda hata maji unaona mzigo
 
...sweetbaby waambie 'face-face' kero zako. Sidhani kama kuandika humu jamvini wana kusoma, unless 'nao' ni members humu.
 
Jamani kuna wanaume wengine wanarudi majumbani mwao
wakifika ni chakula wakila ni ndani kitandani ukiwaambia jamani
uogi aaaapana mpaka asbh,uko ndani usiku ni kero ukifikiria kumpa
mgongo wa nne shida ni taabu tupu jamani
kama we ni mwanaume wa jinsia hiyo acha jitahidi uoge mkifika kwenda kullala
hata kama wanawake zenu awapigi kelele mjue wanateseka jamani
okoa maji
oga usiku

Pamoja na kwenda 'kanisani' bado tu unalala na wanaume kadhaa...tena wasiooga?lol
 
bibi wee huwa wanaogeshwa hao..tena shurti maji yana mdalasini...inahuuu!!
 
Jamani kuna wanaume wengine wanarudi majumbani mwao
wakifika ni chakula wakila ni ndani kitandani ukiwaambia jamani
uogi aaaapana mpaka asbh,uko ndani usiku ni kero ukifikiria kumpa
mgongo wa nne shida ni taabu tupu jamani
kama we ni mwanaume wa jinsia hiyo acha jitahidi uoge mkifika kwenda kullala
hata kama wanawake zenu awapigi kelele mjue wanateseka jamani
okoa maji
oga usiku

Hapo nilipoweka rangi kwa msisitizo ndipo palipocatch attention yangu..,unampa mgongo?..ni mgongo upi huo ni huu wa kawaida au ni tafsida imetumika hapo ikimaanishwa tiGO
 
Jamani kuna wanaume wengine wanarudi majumbani mwao
wakifika ni chakula wakila ni ndani kitandani ukiwaambia jamani
uogi aaaapana mpaka asbh,uko ndani usiku ni kero ukifikiria kumpa
mgongo wa nne shida ni taabu tupu jamani
kama we ni mwanaume wa jinsia hiyo acha jitahidi uoge mkifika kwenda kullala
hata kama wanawake zenu awapigi kelele mjue wanateseka jamani
okoa maji
oga usiku
we koma kabisa yaani umeweka JF ni sehemu ya kitchen part tukufundishe namna ya kuwa handle waume zako eee! si uwaogeshe tu, pengine kavivu ka kuchota mayi
 
Mmh mwanakwetu wanitia aibu mume shurti aogeshe wataka akaonge mwenyewe? Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ndoa itakushinda
 
Sweetbaby, hilo si tatizo kabisa. Wakuu wa jamvi washasema, mkogeshe huyo/hao. Tatizo ni wanawake wanaooga sana halafu wanasahau kuogesha na vinywa vyao. Vinywa hivi vinaendelea kutema maneno ya kutoa roho kama vile hawajaswaki. Sasa hapa tabu kweli kweli 'kumsafisha kinywa' mtu mzima
 
Jamani kuna wanaume wengine wanarudi majumbani mwao
wakifika ni chakula wakila ni ndani kitandani ukiwaambia jamani
uogi aaaapana mpaka asbh,uko ndani usiku ni kero ukifikiria kumpa
mgongo wa nne shida ni taabu tupu jamani
kama we ni mwanaume wa jinsia hiyo acha jitahidi uoge mkifika kwenda kullala
hata kama wanawake zenu awapigi kelele mjue wanateseka jamani
okoa maji
oga usiku
Huyo mwanaume wako haogi kwa vile akioga tu basi usiku huo lazima umpe mgongo wa nne kama ulivyosema mwenyewe kitu ambacho yeye hapendi kabisaaaa!.
 
Mmh mwanakwetu wanitia aibu mume shurti aogeshe wataka akaonge mwenyewe? Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ndoa itakushinda

Ndo maana Waafrika hatuendelei, this's ridiculous!, who has all this time?!, badala ya kufikiria na kufanya mambo ya mendeleo, mnaendeleza ujinga.

F..ck
 
Nilitaka nisema ni wanawake wa namna gani siwapendi yakija mambo haya ya usafi. Nashukuru nimeweza kujizuia.
 
Jamani kuna wanaume wengine wanarudi majumbani mwao
wakifika ni chakula wakila ni ndani kitandani ukiwaambia jamani
uogi aaaapana mpaka asbh,uko ndani usiku ni kero ukifikiria kumpa
mgongo wa nne shida ni taabu tupu jamani
kama we ni mwanaume wa jinsia hiyo acha jitahidi uoge mkifika kwenda kullala
hata kama wanawake zenu awapigi kelele mjue wanateseka jamani
okoa maji
oga usiku

Unaonyesha ni jinsi gani unavyolala na wanaume wengi duh! Punguza
 
Sweetbaby pole na yanayokusibu lakini mie nakushauri ongea naye kwa sauti nyororo for sure unayo sweet words as your name na wakati huo maji yako bafuni, take your time to tel him how you dont like asipo oga, wanaume wanahitaji kubembelezwa kama watoto, I think you understand atabadilika tu.
 
Back
Top Bottom