Sipendi msichana mwenye tabia hizi...

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,462
154,344
Hizi n dizo tabia za wasichana ambazo sipendi kabisa:
  • kuamka usiku na kuanza kupekua simu yangu
  • msichana mwenye gubu
  • msichana ambaye anajisafisha sana kwa nje huku hajakumbuka kutandika kitanda alichokilalia.
  • msichana mchoyo, ambaye wakija wageni anauvuta mdomo kwa hasira na kuficha chakula.
  • msichana ambaye anapekua mifuko ya shati na suruali kusaka mshiko.
  • msichana ambaye anajidai hawezi kuwatembelea wagonjwa na wenye shida mbalimbali kwa kuwa yuko busy.
  • msichana ambaye anawaza kujiremba na kujipodoa kuliko mustakabari wa maisha yake yajayo.
  • msichana anayefitinisha wanandugu.
  • msichana mwenye maringo na kiburi wakati hamna anachojua.
  • msichana muongo.
  • msichana asiye na hofu ya mungu
  • msichana anayehusudu habari na hadithi za kishirikina.
 
Let's face it, no one is perfect. However, some men do not help their cause when it comes to five specific traits that women tend to loathe and typically will get you nowhere when it comes to attracting the opposite sex.

Whether these things are just part of who you are, or whether it is something that can be "fixed," understand that the top five traits that a woman hates in a man are very real and can be deal breakers when it comes to any relationship.

Have a Life! Show Some Passion!

First,....Women want your attention, but they also want you to have a life and not a boring existence that only includes her.

Next, and keeping on the clingy note, don't call her every fifteen minutes. Regardless of how much she likes you, she is going to end up feeling smothered, avoid your calls and run for the hills. Furthermore, if you are the one constantly calling and she no longer picks up the phone to dial you, it could already be too late.

The third... Women hate when a man doesn't offer a challenge and tend to classify a submissive man as weak or boring. Women want the Alpha Male. The Alpha Male exhibits strong, powerful behavior that screams, "I can take care of you."

If you're a Jerk, You're going to be Alone!

The fourth trait that women hate about men is if they are insensitive. If she feels like you are mocking her or not considering her feelings, she is not going to stick around. If she feels that you don't care about what she thinks, you are going to find yourself quite alone.

Finally, the last trait that women hate in men is when they feel that they have something to prove by talking about how much money they make or how much something cost or their new Mercedes. Frankly, unless a woman is gold digger, she doesn't care if she really likes you. However, when you exhibit this behavior, it screams inferiority complex and women don't want to be around a guy who feels his relationship is a material goods competition.
 
Hizi n dizo tabia za wasichana ambazo sipendi kabisa:
  • kuamka usiku na kuanza kupekua simu yangu
  • msichana mwenye gubu
  • msichana ambaye anajisafisha sana kwa nje huku hajakumbuka kutandika kitanda alichokilalia.
  • msichana mchoyo, ambaye wakija wageni anauvuta mdomo kwa hasira na kuficha chakula.
  • msichana ambaye anapekua mifuko ya shati na suruali kusaka mshiko.
  • msichana ambaye anajidai hawezi kuwatembelea wagonjwa na wenye shida mbalimbali kwa kuwa yuko busy.
  • msichana ambaye anawaza kujiremba na kujipodoa kuliko mustakabari wa maisha yake yajayo.
  • msichana anayefitinisha wanandugu.
  • msichana mwenye maringo na kiburi wakati hamna anachojua.
  • msichana muongo.
  • msichana asiye na hofu ya mungu
  • msichana anayehusudu habari na hadithi za kishirikina.

Bujibuji ngoja nikampikie shemejio nitajibu kesho hapa..
Simple Quest..
Wewe uko perfect hizo tabia ambazo huzipendi na huna hata moja wapo????;)
 
I sense a battle of the sexes is looming. Just wait till that WomanOfSubstance sees this....
 
Bujibuji ngoja nikampikie shemejio nitajibu kesho hapa..
Simple Quest..
Wewe uko perfect hizo tabia ambazo huzipendi na huna hata moja wapo????;)

Tena watu wanaochagua ndo huwa wanapata wasichana wenye hizo tabia. La maana Bujibuji mwombe Mungu wako kwa bidii zote ili akupe huyo msichana unayemtaka wewe
 
I sense a battle of the sexes is looming. Just wait till that WomanOfSubstance sees this....

Shem, sioni haja ya battle kwenye hili.....B as a man yeye ametoa madhaifu ambayo hangependa mwenzi wake awe nayo

and bht as a woman pia anaweza kuleta sifa ambazo asingependa mwenzi wake awe nazo!!

all in all no one is perfect (mume au mke, mapungufu yapo tu)
 
Shem, sioni haja ya battle kwenye hili.....B as a man yeye ametoa madhaifu ambayo hangependa mwenzi wake awe nayo

and bht as a woman pia anaweza kuleta sifa ambazo asingependa mwenzi wake awe nazo!!

all in all no one is perfect (mume au mke, mapungufu yapo tu)

Una busara na hekima nyingi sana shem wangu weye. Yaani kila napotoka nje ya mstari wewe upo kuniweka sawa. Ni baraka kuwa na shem kama wewe kwa kweli. Ulichosema ni kweli kabisa. Hakuna binadami aliye timilifu. Na cha muhimu zaidi ni kuvumiliana. Mimi kuvumilia na kujifunza kuyakubali mapungufu ya mwenzangu na yeye kufanya vivyo hivyo. Kwa kufanya hivi tutakuwa tunajenga msingi mzuri na imara wa mahusiano yetu.
 
Hizi n dizo tabia za wasichana ambazo sipendi kabisa:
  • kuamka usiku na kuanza kupekua simu yangu
  • msichana mwenye gubu
  • msichana ambaye anajisafisha sana kwa nje huku hajakumbuka kutandika kitanda alichokilalia.
  • msichana mchoyo, ambaye wakija wageni anauvuta mdomo kwa hasira na kuficha chakula.
  • msichana ambaye anapekua mifuko ya shati na suruali kusaka mshiko.
  • msichana ambaye anajidai hawezi kuwatembelea wagonjwa na wenye shida mbalimbali kwa kuwa yuko busy.
  • msichana ambaye anawaza kujiremba na kujipodoa kuliko mustakabari wa maisha yake yajayo.
  • msichana anayefitinisha wanandugu.
  • msichana mwenye maringo na kiburi wakati hamna anachojua.
  • msichana muongo.
  • msichana asiye na hofu ya mungu
  • msichana anayehusudu habari na hadithi za kishirikina.
Msichana huyu cc humuita kicheche!!
 
Una busara na hekima nyingi sana shem wangu weye. Yaani kila napotoka nje ya mstari wewe upo kuniweka sawa. Ni baraka kuwa na shem kama wewe kwa kweli. Ulichosema ni kweli kabisa. Hakuna binadami aliye timilifu. Na cha muhimu zaidi ni kuvumiliana. Mimi kuvumilia na kujifunza kuyakubali mapungufu ya mwenzangu na yeye kufanya vivyo hivyo. Kwa kufanya hivi tutakuwa tunajenga msingi mzuri na imara wa mahusiano yetu.

thats my shemeji hebu ona mapointi unavyoyamwaga......hapo!!! mwenzenu am so proud of you my shemejiz na nafurahi kujiunga na ukoo wenu lol!!!

kwenye bold umenikosha kweli kweli!! ni kweli kwenye mahusiano pia lazima kila mmjoja ata-sacrifice mambo fulani fulani ili tu kujenga mahusiano imara na kudumu na mwenzi wako.
 
uncle plz niambie ww kama mwanaume hupengi mwanamme mwenye tabia zipi?
kila mtu ana tabia zake ambazo sio nzuri, lakini kwa bahati mbaya tumekuwa wagumu kuziona. Kwa hiyo mtu mwingine ndiye anayeziona tabia zetu. Binafsi sipendi mwanaume mwenye kugeuza geuza maneno, mchonganishi, mwenye majungu na wale wanaume wanaojiona wana utukufu wa kike.. siwapendi kabisa.
 
kila mtu ana tabia zake ambazo sio nzuri, lakini kwa bahati mbaya tumekuwa wagumu kuziona. Kwa hiyo mtu mwingine ndiye anayeziona tabia zetu. Binafsi sipendi mwanaume mwenye kugeuza geuza maneno, mchonganishi, mwenye majungu na wale wanaume wanaojiona wana utukufu wa kike.. siwapendi kabisa.

utukufu wa kike ni upi huo??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom