Sipendi kuwaita wanafiki we utawaitaje??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,778
NIMESOMA BLOG MOJA HAWA WATU WANAJIITA SAIDIA SOMALIA NIMEBAHATIKA KUFANYA KAZI ZANGU NYINGI VIJIJINI WAPENDWA
LABDA NISIENDE MBALI KUNA VIJIJI VIKO PEMBEN YA BAGAMOYO NA VINGINE NDANI YA BAGAMOYO. MSIONE RAIS WENU ANATUA NA MISAFARA YA MAGARI 20 ZILE NI LAANA.

NENDEN MKAONE WATU WALIVYOCHOKA WENGINE WANAFIA NYUMBA KUKOSA MLO KWA KUUMWA LEO WANAINUKA HAWA MATAPELI SIJUI NIWAITE WANAFIKI. KUNA MH PEMBENI JE NI VIJIJI VINGAPI WANAKUFA NA NJAA.???

NANI ASIEJUA VILE VIJIJI KULE ARUSHA LOLIONDO WALIOONYESHA NGOMBE ZINAKUFA KWA KUKOSA CHAKULA HUKU WATU WAKIWA MAJUMBANI TAABANI WALIME WAPI, WAPATE CHAKULA WAPI, MAJANI YA MAHINDI YAMEWAKA KAMA AWAKO DUNIANI.

WAKAONYESHA MBEYA KWENYE TELEVISION YA MH MMOJA NAMWONA HAPO HAKUNA MPAKA LEO ALIEENDA KUSAIDIA KATI YA HAWA WANAFIKI.

ILA WAKITOA MILLION 400 KWA SACCOS AAAH UTAWASIKIA NA JIULIZA MPAKA MKAJIKOMBE SOMALIA MMEANGALIA KWENU KUKO SALAMA???JE WEWE UTAWAITAJE HAWA

GO9G5130.JPG
 
Kaka Pdidy yale mambo ya boliti na kibanzi cha mwenzio ndio yanatumika hapa wao wana boliti somalia kibanzi...
 
Mkuu! Hivi inakuwaje ktk maandiko yako huwa hufuatit japo kanuni za kawaida? Kama vile koma, kituo nk?
Binafsi huwa navutiwa na hoja zako humu jamvini ila hapo tu!
 
Mkuu! Hivi inakuwaje ktk maandiko yako huwa hufuatit japo kanuni za kawaida? Kama vile koma, kituo nk? Binafsi huwa navutiwa na hoja zako humu jamvini ila hapo tu!
We hizo koma, nukta, n.k zitakusaidia nini?
Mradi topic umeielewa na kama unavyosema hua unazipenda basi changia
 
Mkuu! Hivi inakuwaje ktk maandiko yako huwa hufuatit japo kanuni za kawaida? Kama vile koma, kituo nk?
Binafsi huwa navutiwa na hoja zako humu jamvini ila hapo tu!

Umenena vema, bora na asikie; asituumize akili kwa kusoma maandishi marefu kama reli bila kituo. Halafu unashangaa nini wao kuisaidia Somalia? Labda hujui hali halisi iliyopo kule; ni critical. Hayo ya hapa kwetu hata serikali yenyewe yaweza tatua, ya Somalia yahitaji msaada wa kila mmoja, pamoja na wewe. Jaribu kuwa na mtazamo mpana; make hata nchi za ulaya kuna maskini hohehahe japo matajiri wa huko hutupatia sisi waafrika misaada. Tafakari kwa kina!

An individual has not yet started living until he can rise above the narrow confines of his individualistic concerns to broader sense of all humanity.
Martin Luther King Jr.
 
Unaweza kua sawa au lah, lakini mi nadhani thamani ya msaada ipo palepale. Wameokoa maisha haijalishi ni ya nani, life is life.
 
Mkuu! Hivi inakuwaje ktk maandiko yako huwa hufuatit japo kanuni za kawaida? Kama vile koma, kituo nk?
Binafsi huwa navutiwa na hoja zako humu jamvini ila hapo tu!
Hiyo inaitwa Pdidy style, ndio iliyompa umaarufu humu jamvini, ukiona maandishi tu huna haja ya kuangalia jina unajuwa tu huyu ni Pdidy.
 
Pdidy, acha roho mbaya Somalia kuna hali mbaya sana wanawake na watoto wanakufa kwa njaa.
Nchi yako Tanzania mbona kila siku mnasaidiwa usemi kama unafiki, halafu kingine jaribu kuandika vizuri aiwezekani thread yako aina hata koma moja au kituo. zaidi ya halama 6 za kuuliza
 
Msimlahumu sana Pdidy, inategemea anatumia kifaa gani katika kukuletea ujumbe huu, labda aina ya simu yake. maana ingekuwa laptop "it easily to control".
 
Msimlahumu sana Pdidy, inategemea anatumia kifaa gani katika kukuletea ujumbe huu, labda aina ya simu yake. maana ingekuwa laptop "it easily to control".
Hujamjuwa Pdidy wewe bado, subili tu utapata burudani mpaka usuuzike, maana kuna wakati utadhani alikuwa anapost kitu huku anakimbilia daladala!!
 
NIMESOMA BLOG MOJA HAWA WATU WANAJIITA SAIDIA SOMALIA NIMEBAHATIKA KUFANYA KAZI ZANGU NYINGI VIJIJINI WAPENDWA<br />
LABDA NISIENDE MBALI KUNA VIJIJI VIKO PEMBEN YA BAGAMOYO NA VINGINE NDAN YA BAGAMOYO MSIONE RAIS WENU ANATUA NA MISAFARA YA MAGARI 20 ZILE NI LAANA NENDEN MKAONE WATU WALIVYOCHOKA WENGINE WANAFIA NYUMBA KUKOSA MLO KWA KUUMWA <br />
LEO WANAINUKA HAWA MATAPELI SIJUI NIWIATE WANAFIKI HAPANA KUNA MH PEMBENI JE NI VIJIJI VINGAPI WANAKUFA NA NJAA.???NANI ASIEJUA VILE VIJIJI KULE ARUSHA LOLIONDO WALIOONYESHA NGOMBE ZINAKUFA KWA KUKOSA CHAKILA HUKU WATU WAKIWA MAJUMBA TAABANI WALIME WAPI WAPATE CHAKULA WAPI MAJANI YA MAHINDI YAMEWAKA KAMA AWAKO DUNIAN WAKAONYESHA MBYA KWENYE TELEVISION YA MH MMOJA NAMWONA HAPO AKUNA MPAKA LEO ALIEENDA KUSAIDIA KATIYA HAWA WANAFIKI ILA WAKITOA MILLION 400 KWA SACCOS AAAH UTAWASIKIA NA JIULIZA MPAKA MKAJIKOMBE SOMALIA MMEANGALIA KWENU KUKO SALAMA???JE WEWE UTAWAITAJE HAWA<br />
<br />
<img src="http://1.bp.blogspot.com/-DDC5-7627fo/TmD_URlW7YI/AAAAAAABt8g/W5gedXtxsao/s1600/GO9G5130.JPG" border="0" alt="" />
<br />
<br />
duh hii ni story au treni ya maneno?
 
Unaweza kua sawa au lah, lakini mi nadhani thamani ya msaada ipo palepale. Wameokoa maisha haijalishi ni ya nani, life is life.
<br />
<br />
Na unalisungumzia je hili la hapa kwetu kufumbiwa macho
 
Hiyo inaitwa Pdidy style, ndio iliyompa umaarufu humu jamvini, ukiona maandishi tu huna haja ya kuangalia jina unajuwa tu huyu ni Pdidy.
<br />
<br />
Mbona nyie mnaoweka nukta na koma mada zenu hazina mbele wala nyuma?
 
Hujamjuwa Pdidy wewe bado, subili tu utapata burudani mpaka usuuzike, maana kuna wakati utadhani alikuwa anapost kitu huku anakimbilia daladala!!
<br />
<br />
MMEANZA MAJUNGU BADALA YAKUJADILI MADA
 
<br />
<br />
Mbona nyie mnaoweka nukta na koma mada zenu hazina mbele wala nyuma?

za uzinzi koma wapate wapi weee usijewakumbushia eid warudisinza kufanya Booking
 
hiyo ndiyo principle ya maisha that ITS easier to find a solution for someone else problem. lakini la kwako inakuwa kitendawili hata kama ndo lile lile ulolipatia ufumbuzi kwa mwenzako. teh
 
Mi nimesoma vizuri tu hata sijapata shida, Koma na nukta nilikuwa naweka
mwenyewe kichwani mwangu. Yameeleweka vizuri sana hata kwa mtu
ambaye macho yake hayaoni vizuri.
Tatizo ni mada yenyewe sijamaliza kutafakari hoja.
 
Hapa ni ufinyu wa kufikiria. Wazir mkuu alitangaza vijiji kibao vimekumbwa na njaa, hilo halitugusia, ila somalia limetugusa. Hakuna lolote, kuna harufu ya ufisadi hapa.
 
Back
Top Bottom