nelly nashon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 242
- 521
Nina sababu yakutopenda threads zenye maneno hayo, si kwamba sipendi vita dhidi ya ukimwi bali mada za namna hii hutinesha vidonda kwa wapendwa wetu ambao kwa namna moja au nyingine janga hili limeshawagusa.
Kwa takwimu tu kati ya watanzania 16 Mmoja anaweza kuwa ameathirika,
Ukiweka threads yenye maneno hayo ikatazamwa na watu zaidi ya 200 Kati yao kuna waathirika pia na wale wanaowahudumia wapendwa wao, wengi utakuwa umewatonesha vidonda vya machungu ya janga hili.
Lakini naungana na Watanzania wenzangu kuendelea kuisapoti vita dhidi ya maambukizi ya VVU.
Kwa takwimu tu kati ya watanzania 16 Mmoja anaweza kuwa ameathirika,
Ukiweka threads yenye maneno hayo ikatazamwa na watu zaidi ya 200 Kati yao kuna waathirika pia na wale wanaowahudumia wapendwa wao, wengi utakuwa umewatonesha vidonda vya machungu ya janga hili.
Lakini naungana na Watanzania wenzangu kuendelea kuisapoti vita dhidi ya maambukizi ya VVU.