Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Napata hasira kusikia tumeteua majaji,wabunge na sasa wagombea uspeaker kwa misingi ya upendeleo kwa wanawake.hii haisaidii chochote kwa maslahi ya wanawake wenyewe na taifa kwa ujumla.serikali ilipaswa kufanya jambo moja tu;kuweka fair ground kwa jinsia zote kushindana,mfano kuhakikisha watoto wa jinsia zote wanapelekwa shule.let them compete mbona nimesoma na wasichana vichwa sana ambao hawakuhitaji upendeleo?ndio maana utakuta watu wenye uwezo wa kuingia chuo wanaachwa badala yake wanachukuliwa vilaza( kwa kigezo cha wanawake) wanapigwa msasa then wanaingia chuo.ombi langu kwa watz ni kwamba tusiwe kama kasuku kila linalosemwa na wazungu ni zuri.tuzingatie tuko kwenye hatua ipi ya maendeleo sio kuiga iga kila kitu.shame on cc!!mmezoea kutufanya wajinga ee?hamkomi ee?iko siku yenu.maoni yangu kwa wabunge wateule wachague speaker anayefaa. sio wa chama,dini au jinsia fulani bali atakayeweka maslahi ya taifa na utaifa mbele.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake wa jinsia zote.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake wa jinsia zote.