Habari wadau..
Mimi ni kijana early 30, najihisi nina tatizo la kuboreka.. nikifanya kitu kimoja muda mrefu, nikikaa sehemu moja muda mrefu, au nikikaa na watu fulani muda mrefu nahisi naboreka.
Nashukuru Mungu kipato kidogo napata cha kuniwezesha kupanga nyumba zenye privacy ila kila baada ya miaka mitatu hadi minne nachoka hilo eneo natamani kuhama na inatokea nahama.
Kazi pia nafanya sekta binafsi hivyo hivyo nikifanya majukumu ya aina moja miaka mitatu naichoka hiyo kazi naanza kutafuta ingine nikipata nasepa hata kama hakuna shida yeyote.
Na hata biashara nikifanya miaka kazaa mfululizo naichoka kama inalipa huwa naajiri kijana aendelee nayo, huku mimi na mmonitor na kumsaidia ikibidi najaribu kabiashara kengine hata kama hako kingine hakalipi.. najikuta nakapenda tu.
Je, mimi ni mzima kweli?
Mimi ni kijana early 30, najihisi nina tatizo la kuboreka.. nikifanya kitu kimoja muda mrefu, nikikaa sehemu moja muda mrefu, au nikikaa na watu fulani muda mrefu nahisi naboreka.
Nashukuru Mungu kipato kidogo napata cha kuniwezesha kupanga nyumba zenye privacy ila kila baada ya miaka mitatu hadi minne nachoka hilo eneo natamani kuhama na inatokea nahama.
Kazi pia nafanya sekta binafsi hivyo hivyo nikifanya majukumu ya aina moja miaka mitatu naichoka hiyo kazi naanza kutafuta ingine nikipata nasepa hata kama hakuna shida yeyote.
Na hata biashara nikifanya miaka kazaa mfululizo naichoka kama inalipa huwa naajiri kijana aendelee nayo, huku mimi na mmonitor na kumsaidia ikibidi najaribu kabiashara kengine hata kama hako kingine hakalipi.. najikuta nakapenda tu.
Je, mimi ni mzima kweli?