Sipendezwi na jinsi inavyolazimishwa sasa CDF kuwa chini ya Waziri wa Ulinzi 'Kiprotokali' wakati Waziri wa Ulinzi ndiyo anapaswa kuwa chini ya CDF

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,864
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
 
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani ( Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
We jamaa unapenda choko choko na kugombanisha viongozi wetu.

Ccm huyu jamaa yenu mnatakiwa kudeal naye aondoke kwenye chama chenu atawaharibia.
 
Duniani Kote nchi ni ya Jeshi . Nchi yenye Jeshi Kubwa ndiyo nchi imara. Tanzania hatuoni umuhimu wa majeshi yetu Kwa sababu Mwalimu alikua msomi Halisi wa siasa na jamii na Dunia aliijua vizuri Kwa alikua ni Msomi aliyeelimika Kwa kiwango kikubwa sana. Nyerere hakuwa mjinga alipokua analitumia Jeshi lake kwenye vita za Ukombozi na kusaidia nchi nyingine. Aliwaweka Wanajeshi Bize na mambo ya nje na kuwasaidia majirani. Na hicho ndicho wanachofanya Marekana ni nchi za NATO. Nchi za Kiraia zinapaswa kulitumia Jeshi Kwa umakini mkubwa. Huwezi ukasikia Rais wa Marekani anawakoromea wanajeshi Kwa lugha za kudhalilisha. Hata Kagame analiheshimu sana Jeshi lake ikiwemo Jeshi la Polisi. Huku Afrika na hata Tanzania ni rahisi kusikia Rais au mwanasiasa analidhalilisha Jeshi au Polisi wakati huo huo anategemea kuiba kura Kwa sababu Majeshi yatamlinda. Yani ni Hopeless kabisa.

Jeshi ni serikali Mbadala ndio maana imepewa jukumu la kulinda Katiba Muda wote. Kuna maana kubwa uliyojificha nyuma ya Jukumu Hilo . Wanasiasa UCHWARA HAWAWEZI KUELEWA MAANA YAKE. IPO SIKU AMBAYO HAIPO MBALI WATAJUA MAANA YAKE. Historia Duniani Kote hua inatabia ya kuwapitisha wanadamu kwenye nyakati zinazofanana endapo hawatajifunza Kwa waliowatangulia katika nyakati zinazofanana.
Afrika maendeleo ya pamoja yatatokea Kwa mapinduzi na sio Kwa kugonga meza. Afrika ikiwa na Marais 5O kama Kagame na Museveni na Museveni Hakika Kwa utajiri uliopo tungekua tunauza mtungi wa Gesi KG 15 Kwa sh. 20000 na mafuta Petroli Sh. 1200/- kwa Ltr.

Kutoliheshimu Jeshi na kulipa heshima yake inatokana na matatizo ya nchi jirani.Hali inayopelekea wanajeshi wetu angalau kupata sehemu wanapoweza kwenda kuweka roho zao rehani ili wapate anagalu fedha za kuboresha maisha yao na hivyo kutulia na kuwaachia wanasiasa wa ndani ya nchi zao wakilamba asali na kuwakejeli wanajeshi wao . Hiyo ipo pia Kwa majeshi ya Polisi Afrika wanaachwa kama Kuku wa Kienyeji waishi Kwa rushwa na kubambikia watu Kesi ili waweze kuendesha maisha yao na kusomesha watoto wao ili watoto wao wasije wakarithi matusi na kejeli Toka Kwa wanasiasa kuwa hawajasoma ,hawana uwezo wa kuchanganua mambo ,hawajui kupeleleza, ni wababaishaji,wasumbufu, hawajui Sheria n.k lakini ndio wanaowatumia kuiba kura na kuchafua Hali ya utulivu kisiasa na wakishaingia madarakani wanawakejeli na kuwaona hawana maana yoyote na hawastahili kulipwa mishahara ya kuwafanya waendeshe maisha yao Kwa misingi ya Haki na uadilifu . Matokeo yake ni kuwa na mifumo isiyoeleweka na yenye mikanganyiko mikubwa. CDF ni International Rank na vyeo vingine vyote vya Kijeshi chini yake. Hawatakiwi kuwa watumwa wa kisiasa . Wanapaswa kuwa huru mbali na siasa. Raia mmoja TU ndiye mwenye kauli juu ya Jeshi ,yaani Rais basi mana ana mamlaka ya kumteua CDF na Kumtengua muda wowote. Wengine wote hawana jambo lolote la kiutendaji juu ya Jeshi na hivyo hawana maelekezo yoyote Kwa Jeshi zaidi ya blabla za sijui ilani sijui Nini wakati Jeshi na ilani ni vitu visivyoendania Kwani Jeshi linapaswa kulinda Mipaka ya nchi na Katiba ya nchi hata kama hakuna Rais Wala Chama. Yaani hata ikatokea Serikali yote wakaangamia Kwa baridi Kali au Upepo mkali wa kisulisuki Ukalizoa Jengo la Bunge la Kameruni Bado Jeshi litalinda mipaka ya nchi na Katiba mpaka Hali itakapokaa sawa. Hivyo nakubaliana na wewe kabisa kuwa Jeshi linahitaji kuheshimiwa na kuepuka jambo lolote linaloweza kuwafanya wanasiasa kujiweka juu ya Taratibu za Kijeshi Kwa namna yoyote ndani ya nchi zetu za Afrika.

Ni bahati TU Afrika Kuna nchi zenye Vita kama Kongo ,Sudani,Somalia ,Msumbuji, Burundi n.k. Hali inayowapa fursa baadhi ya wanajeshi wa nchi nyingine kufadhiliwa na Mabeberu wa nchi za magaharibi Kwa kulipwa fedha ili wakalinde kile wanachokiita amani. Hapo wanaopata fursa hiyo wanajipatia nafasi ya kuboresha maisha yao na kuvumilia manyanayaso ya wanasiasa waliojaa dharau na kejeli Kwa kushiba asali na kujiona wao wanajua kila kitu mpaka Medani za kivita Kwa sababu TU ya kuangalia Move za Kina Rambo wanadhani kuwa kumbe inawezekana mtu mmoja akalinda mipaka ya nchi


Nakuunga mkono hata kama hawatakuelewa lakini Iko siku watakuelewa. Siku Sudani na Kongo wakipata amani akili zitakaa sawa Kwa wanasiasa wa nchi za Kiafrika ,Watajua kuwa hakuna Serikali bila majeshi,hakuna heshima ya mahakama bila Majeshi ,hakuna heshima ya Bunge bila Majeshi. Hakuna amani bila Majeshi. Hakuna kula Bata na starehe bila Majeshi. Watu wamwagilia mioyo yao Kwa sababu Kuna majeshi yanayolinda usalama wa nchi.
 
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
Unayoyasema sidhani kama yana mifano dunia hii. Hebu sikiliza hata huko Urusi wakati huu wa vita ndo utajua umekurupuka.
 
Duniani Kote nchi ni ya Jeshi . Nchi yenye Jeshi Kubwa ndiyo nchi imara. Tanzania hatuoni umuhimu wa majeshi yetu Kwa sababu Mwalimu alikua msomi Halisi wa siasa na jamii na Dunia aliijua vizuri Kwa alikua ni Msomi aliyeelimika Kwa kiwango kikubwa sana. Nyerere hakuwa mjinga alipokua analitumia Jeshi lake kwenye vita za Ukombozi na kusaidia nchi nyingine. Aliwaweka Wanajeshi Bize na mambo ya nje na kuwasaidia majirani. Na hicho ndicho wanachofanya Marekana ni nchi za NATO. Nchi za Kiraia zinapaswa kulitumia Jeshi Kwa umakini mkubwa. Huwezi ukasikia Rais wa Marekani anawakoromea wanajeshi Kwa lugha za kudhalilisha. Hata Kagame analiheshimu sana Jeshi lake ikiwemo Jeshi la Polisi. Huku Afrika na hata Tanzania ni rahisi kusikia Rais au mwanasiasa analidhalilisha Jeshi au Polisi wakati huo huo anategemea kuiba kura Kwa sababu Majeshi yatamlinda. Yani ni Hopeless kabisa.

Jeshi ni serikali Mbadala ndio maana imepewa jukumu la kulinda Katiba Muda wote. Kuna maana kubwa uliyojificha nyuma ya Jukumu Hilo . Wanasiasa UCHWARA HAWAWEZI KUELEWA MAANA YAKE. IPO SIKU AMBAYO HAIPO MBALI WATAJUA MAANA YAKE. Historia Duniani Kote hua inatabia ya kuwapitisha wanadamu kwenye nyakati zinazofanana endapo hawatajifunza Kwa waliowatangulia katika nyakati zinazofanana.
Afrika maendeleo ya pamoja yatatokea Kwa mapinduzi na sio Kwa kugonga meza. Afrika ikiwa na Marais 5O kama Kagame na Museveni na Museveni Hakika Kwa utajiri uliopo tungekua tunauza mtungi wa Gesi KG 15 Kwa sh. 20000 na mafuta Petroli Sh. 1200/- kwa Ltr.

Kutoliheshimu Jeshi na kulipa heshima yake inatokana na matatizo ya nchi jirani.Hali inayopelekea wanajeshi wetu angalau kupata sehemu wanapoweza kwenda kuweka roho zao rehani ili wapate anagalu fedha za kuboresha maisha yao na hivyo kutulia na kuwaachia wanasiasa wa ndani ya nchi zao wakilamba asali na kuwakejeli wanajeshi wao . Hiyo ipo pia Kwa majeshi ya Polisi Afrika wanaachwa kama Kuku wa Kienyeji waishi Kwa rushwa na kubambikia watu Kesi ili waweze kuendesha maisha yao na kusomesha watoto wao ili watoto wao wasije wakarithi matusi na kejeli Toka Kwa wanasiasa kuwa hawajasoma ,hawana uwezo wa kuchanganua mambo ,hawajui kupeleleza, ni wababaishaji,wasumbufu, hawajui Sheria n.k lakini ndio wanaowatumia kuiba kura na kuchafua Hali ya utulivu kisiasa na wakishaingia madarakani wanawakejeli na kuwaona hawana maana yoyote na hawastahili kulipwa mishahara ya kuwafanya waendeshe maisha yao Kwa misingi ya Haki na uadilifu . Matokeo yake ni kuwa na mifumo isiyoeleweka na yenye mikanganyiko mikubwa. CDF ni International Rank na vyeo vingine vyote vya Kijeshi chini yake. Hawatakiwi kuwa watumwa wa kisiasa . Wanapaswa kuwa huru mbali na siasa. Raia mmoja TU ndiye mwenye kauli juu ya Jeshi ,yaani Rais basi mana ana mamlaka ya kumteua CDF na Kumtengua muda wowote. Wengine wote hawana jambo lolote la kiutendaji juu ya Jeshi na hivyo hawana maelekezo yoyote Kwa Jeshi zaidi ya blabla za sijui ilani sijui Nini wakati Jeshi na ilani ni vitu visivyoendania Kwani Jeshi linapaswa kulinda Mipaka ya nchi na Katiba ya nchi hata kama hakuna Rais Wala Chama. Yaani hata ikatokea Serikali yote wakaangamia Kwa baridi Kali au Upepo mkali wa kisulisuki Ukalizoa Jengo la Bunge la Kameruni Bado Jeshi litalinda mipaka ya nchi na Katiba mpaka Hali itakapokaa sawa. Hivyo nakubaliana na wewe kabisa kuwa Jeshi linahitaji kuheshimiwa na kuepuka jambo lolote linaloweza kuwafanya wanasiasa kujiweka juu ya Taratibu za Kijeshi Kwa namna yoyote ndani ya nchi zetu za Afrika.

Ni bahati TU Afrika Kuna nchi zenye Vita kama Kongo ,Sudani,Somalia ,Msumbuji, Burundi n.k. Hali inayowapa fursa baadhi ya wanajeshi wa nchi nyingine kufadhiliwa na Mabeberu wa nchi za magaharibi Kwa kulipwa fedha ili wakalinde kile wanachokiita amani. Hapo wanaopata fursa hiyo wanajipatia nafasi ya kuboresha maisha yao na kuvumilia manyanayaso ya wanasiasa waliojaa dharau na kejeli Kwa kushiba asali na kujiona wao wanajua kila kitu mpaka Medani za kivita Kwa sababu TU ya kuangalia Move za Kina Rambo wanadhani kuwa kumbe inawezekana mtu mmoja akalinda mipaka ya nchi


Nakuunga mkono hata kama hawatakuelewa lakini Iko siku watakuelewa. Siku Sudani na Kongo wakipata amani akili zitakaa sawa Kwa wanasiasa wa nchi za Kiafrika ,Watajua kuwa hakuna Serikali bila majeshi,hakuna heshima ya mahakama bila Majeshi ,hakuna heshima ya Bunge bila Majeshi. Hakuna amani bila Majeshi. Hakuna kula Bata na starehe bila Majeshi. Watu wamwagilia mioyo yao Kwa sababu Kuna majeshi yanayolinda usalama wa nchi.
GENTAMYCINE huwa naeleweka vyema na haraka mno hapa JamiiForums na Watu Brainiac ( Intelligent ) kama Wewe hivi Mkuu.

Asante sana kwa huu Udadavuaji ( Ufadanuaji ) wako wa Kina wenye Mantiki ( Logic ) nyingi ambazo kamwe kwa Authentic JF Morons akina CARDLESS na YEHODAYA hawawezi Kukuelewa ila wanachokielewa na kukiweza Wao ni Kumshambulia GENTAMYCINE Mtu aliyebarikiwa Tunu ( Shani ) nyingi na Mwenyezi Mungu ambazo Wao hawakupewa ndiyo maana Kutwa Wananichukia huku wakiteswa na kuonea Wivu Umaarufu wangu unaosindikizwa na Natural Charm niliyonayo.

Ukiona GENTAMYCINE nimeanzisha tu Uzi hapa JamiiForums na naongelea Jambo fulani jua tayari 'Genius' wa Kizanaki ( Mara ), Kimakuwa ( Mtwara ) na Kitutsi ( Gisenyi ) nchini Rwanda nimeona tatizo na Hatari fulani inakuja.

Asante Mwenyezi Mungu kwa Baraka.
 
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
Nadhani siyo kwamba hauelewi itifaki za serikali zinavyofanya kazi.

Umeandika kwa malengo yako maalumu unayoyajua mwenyewe.

Tangu lini Cdf kiitifaki akawa juu ya Waziri wa ulinzi?

Si Waziri wa ulinzi tu pekee ambaye yupo juu ya Cdf kiitifaki, ni kwa waziri yeyote.
 
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
Labda.. Inawaweza kuwa ndo ilikuwa sababu ya mmoja kuomba kustaafu kwa heshima!!
 
Niwaambie ukweli aliyeleta hii hali ni baba wa Taifa kwa kuliingiza jeshi kwenye siasa.Wakati ule kulikuwa na kitu kinaitwa mkoa wa majeshi.Yote sababu ilikuwa chama kimoja.
Mimi kwa upande wangu Jeshi ni taasisi ya kipekee kabisa.Ukitaka kulijua hilo kuna mihimili mitatu Bunge,Serikali na Mahakama lakini jeshi halikutajwa katika mhimili wowote hapo hii inaonyesha ni jinsi gani ilivyo taasisi nyeti.
Jeshi japo haijaandikwa kikatiba mihimili yote hii mitatu jeshi likidinda hakuna kinachofanyika na kufanikiwa.

Kwa waziri wa ulinzi sina usemi hapo kwa kweli mi ninachojua tu CDF huwa hampigii salute mtu yeyote bali ni Raisi ambaye ni amiri jeshi mkuu,maiti(marehemu yeyote hata kama ni raia) haya basi na waziri wa ulinzi maana kumteua CDF waziri wa ulinzi anaweza husika.

Lakini kitendo cha CDF kumpigia salute mkuu wa wilaya kisa tu ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya hii sio sawa kabisa ni mambo ya siasa haya hayana mashiko.Na ukute huyo CDF ana nishani nyingi kiasi kwamba bega lake linataka kuvunjika eti anampigia salute mkuu wa wilaya hata hajawahi kupitia angalau mgambo au JKT.Ukitaka kujua tulikosea ni kwanini ilifika mahali jeshi likatolewa kwenye siasa? ikaonekana kama ukiamua kubaki na nyadhifa za kisiasa ujitoe jeshini ndio wakatoka kina Kinana,Kikwete,Makamba n.k.Miaka ile unaweza kuta askari flani mkubwa ni mkuu wa mkoa

CDF ni mtu wa kipekee sana na mzito maamuzi yake yanaweza leta mtafaruku raisi mwenyewe anamuheshimu sana.Jeshini hakuna vyama vya wafanyakazi,hakuna ilani wao ni amri tu.Mambo yakiharibika hawa jamaa wanaacha familia zao na wake zao wanakwenda uso kwa uso kwenye mvua za risasi kutupambania sisi tukiwa tume starehe na watoto wetu na wake zetu.Sisi tukiwa tumefunga mkanda kwenye suruali zetu wao mikanda kwao ni ule mkanda wa risasi.Kumbukeni Iddi Amini alivyotuvamia kama sio hawa jamaa leo historia ya nchi hii ingekuwa ni ingine kabisa si ajabu ungesikia bandari ya Tanga ni bandari ya Uganda.

Naomba nirekebishwe kama nimekosea na mimi ni binadamu
 

Attachments

  • salute.jpg
    salute.jpg
    155.2 KB · Views: 35
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
Popoma mbobezi.
Defend hii thesis yako kwa vifungu vya katiba, sheria na kanuni
 
Hakuna Kitendo Kimenishangaza na Kimeniuma kama kuona Juzi CDF na Chief of Staff wake wakienda Kiunyonge na Kiuhuruma kwa Waziri wa Ulinzi Kujitambulisha.

Sijawahi kuona popote pale Waziri wa Ulinzi anakuwa Juu ya Jeshi tena Kiprotokali wakati Jeshi ni Serikali Kificho ya Kimedani na inayojitegemea na ambayo ikiamua muda wowote ule ichukue hatamu ya nchi inaweza na huyo ( huyu ) Waziri wa Ulinzi anakuwa si lolote wala si chochote.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na kidogo Mzee Kikwete waliwaheshimu mno CDF's wa Vipindi vyao na walihakikisha hawalazimishi Jeshi kuwa ni sehemu ya Siasa na Utawala wa Kiserikali.

Hayati Rais Dkt. Magufuli alianza kwa mbaali kutaka Kummiliki CDF (japo alikumbana na Ugumu kidogo) kwakuwa CDF Mstaafu Mabeyo anajitambua na ameiva Kimedani (Kijeshi ) pamoja na Protokali zake zote.

Kama kuna Kitu kimenishangaza na naona HATARI fulani mbeleni huko ni kuona Awamu hii ya Rais Samia huyu Waziri wa Ulinzi Bi. Stegormena Tax akipewa Madaraka makubwa juu ya Jeshi na CDF wake kitu ambacho si Kizuri na siyo cha Kiutaratibu kabisa.

Kwa Kawaida ilitakiwa baada ya CDF Kuteuliwa basi Kiitifaki Waziri wa Ulinzi ndiyo alipaswa kwenda kwa CDF ila siyo CDF na Chief of Staff kwenda kwa Waziri wa Ulinzi huku wakiwa na Nyuso za Huruma kana kwamba Wameamrishwa na Mtu wakati Wao ndiyo wana Mandate ya Kuamrisha.

Namalizia kwa Kuwaasa na Kuwaonya enyi Watawala ( Wanasiasa ) kuwa chezeni na Vitu vyote ila msicheze na Taasisi Nyeti kama ya Jeshi na kutaka nao wawe Wanasiasa kama nyie wakati Kiuhalisia wao ni Wanamedani na wako kwa ajili ya Ulinzi na Usalama Uliotukuka wa Taifa letu hili la Tanzania.

Nichukieni, ila yafanyieni Kazi yote!!!
Inaelekea wengi hatujui kazi za Mawaziri katika wizara zetu. Anayejua vizuri atujuze. Nategemea Waziri ni kiongozi mkuu wa kisiasa katika wizara na anahakikisha kutekeleza mipango yote ya Rais wake aliyemchagua, ambayo inakuwa ni mipango ya kuwaendeleza na kuwanufaisha wananchi waliompatia hiyo dhamana. Waziri anamuwakilisha Rais katika wizara- sasa nani mkubwa kuliko Rais katika nchi.
 
Huwa unapenda sana Kukurupukia 'Threads' ambazo zinakuzidi Uwezo wa IQ.

Najua unapambana mno nami hapa JamiiForums ili ujulikane upesi na upate Umaarufu kwani GENTAMYCINE ni Habari ya Mjini.

Huna IQ ya Kuelewa Hoja zangu hapa JamiiForums kwakuwa naturally Wewe ni damn Nut.

Na usichokijua tu ni kwamba kadri unavyopenda Kujitutumua Kunishambulia hapa JamiiForums ndiyo unavyosaidia Kuniongezea Umaarufu hadi natajwa na Waheshimiwa akina Balozi Wilbroad Slaa huko TBC1 na Star Tv huku idadi ya 'Followers'wangu ikiongezeka 24/7 hadi kufikia 110+ wakati Wewe Uncircumcised Baboon ukiwa huna ( hauna ) hata Mmoja tu.

Mkuu [mention]GENTAMYCINE [/mention] hongera kwa kuleta hoja mujarabu. Lakini sijaona kama umejibu hoja za kiongozi hapa badala yake umechamba. Nikashangaa toka lini umeanza kuwa mchambaji?!
 
Back
Top Bottom