Hii ni ya kanda au ni ya makao?tafuta fundi ahakikishe wiring yako ipo sawa na ikiwa ipo sawa wapigie tanesco kituo cha luku kwa msaada zaidi 0768985100
Luku yako ndio yenye matatizo, unit za umeme haziwezi kutumika bila wewe kutumia umeme, kwa hivo basi, wasiliana TANESCO kitengo cha luku wakubadilishie mashine nyingine ya luku.Luku hipo lakini umeme auwaki tatizo ni nini arafu nilikuwa naongeza luku nikajua imeisha inasomaa arafu aimarizi inazima leotena nimejaribu kuuhingiza ule umeme naambiwa umeshatumika lkn umeme auwaki tatizo ni nini?