Sipati Picha ya Waziri Mkuu rafiki na Waziri wa Fedha Mama Mkwe!

mkibunga

Senior Member
Nov 17, 2010
196
25
Salaam waungwana toka kwa Madiba! Bila shaka hamjambo! Nilipo hapa nafikiria huko nyumbani kinachoendelea na wakati huu ambapo mbayuwayu yuko Ubelgiji sipati picha pale ambapo waziri mkuu angekuwa rafiki yake Mkulo na waziri wa fedha mama mkwe wake Meghji!
Nchi yetu hii, mmmmh! Ndiyo, kwa kuwa kuna habari kuwa Mkulo ndo angekuwa waziri mkubwa na mama mkwe angekuwa waziri wa fedha...laiti kama si UwT kuingilia kati na mtoto wa mkulima ambaye tayari alikuwa keshaondoa vifaa vyake ofisini (sina hakika kama angefanya kama Waziri Masha kwa kuondoa mpaka picha za rais kwa madai kuwa kavinunua yeye) sijui hali ingekuwaje...Dah! Hivi nchi inaongozwa kama nyumba ya familia na marafiki? Aaaagh!
Ni hayo tu waungwana, ila kiukweli nawakaribisha tupate walau WINE toka ktk Table Mountain city, Cape Town!
Posted by Chacha o'Wambura a.k.a Ng'wanambiti! at 11:57 PM
 
Salaam waungwana toka kwa Madiba! Bila shaka hamjambo! Nilipo hapa nafikiria huko nyumbani kinachoendelea na wakati huu ambapo mbayuwayu yuko Ubelgiji sipati picha pale ambapo waziri mkuu angekuwa rafiki yake Mkulo na waziri wa fedha mama mkwe wake Meghji!
Nchi yetu hii, mmmmh! Ndiyo, kwa kuwa kuna habari kuwa Mkulo ndo angekuwa waziri mkubwa na mama mkwe angekuwa waziri wa fedha...laiti kama si UwT kuingilia kati na mtoto wa mkulima ambaye tayari alikuwa keshaondoa vifaa vyake ofisini (sina hakika kama angefanya kama Waziri Masha kwa kuondoa mpaka picha za rais kwa madai kuwa kavinunua yeye) sijui hali ingekuwaje...Dah! Hivi nchi inaongozwa kama nyumba ya familia na marafiki? Aaaagh!
Ni hayo tu waungwana, ila kiukweli nawakaribisha tupate walau WINE toka ktk Table Mountain city, Cape Town!
Posted by Chacha o'Wambura a.k.a Ng'wanambiti! at 11:57 PM

Sisi tunaendelea; hivi ninavyoandika napata ugali huku tumewasha vibatari!! Jamaa yupo Ughaibuni, nasikia aliwasilisha mada inayohusu "Energy" sijui na nini huko!! Nilishangaa maana alipaswa kuzungumzia hiyo ENEJI hapa nyumbani kwanza....anyway, sijabahatika kuangalia nani wapo kwenye msafara wake, maana tofauti na Mzee Ruksa, Ben na Hayati Julius huyu mshikaji yeye akienda safari Mrs anamuacha nyuma (mara nyingi)...sitaki kuhisi kwamba labda ndiyo mojawapo ya njia za kuwachukua "Wabunge wa viti maalum" wengi kwenye safari zake???

Tusalimie huko kwa Madiba, mjenga nchi ni mla nchi!!
 
Tata,
Utaporudi usisahau kunibebea kesi ya Carbenet Soauvignon kutoka kwa Madiba.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom