Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
- Thread starter
- #361
Sawa. Nisamehe nilipokukwaza.Poleni sana kwa kusumbuliwa na Stress za kuachwa na Mabwana zenu ww na huyo Shoga mwenzio. Ila hizo Stress zenu pelekeni hukohuko kwenu sio ku Quote msg za watu waliomsifia Nancy Sumary na kuanza malumbano. Kosa langu nn hapo kumsifia Nancy kwamba ana tabia nzr ndo iwe ugomvi, UKOME kuni QUOTE. Sina muda wa kuzozana na Mashoga. Case Closed
Sent using Jamii Forums mobile app