Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,847
- 15,252
DuhSiku moja Obama na mkewe walikwenda kwenye mgahawa kupata chakula, wakiwa hapo wanakula huku wanapiga stori. Mke wa Obama akamwambia mumewe, "mwenye mghawa huu alikuwa mchumba wangu" Obama akamjibu "kwa hiyo sasa wewe ungekuwa mke wa muuza mgahawa" Michelle akamjibu "hapana, ningekuwa mke wa rais"
Maana ake, kuna watu wamemiliki utajiri ambao zaidi ya 75% ya marifa yaliyo uleta yanatoka kwa wake zao.