Kuna minyoo aina nyingi inaweza kusababisha iyo hali, hivyo nenda maabara au hospitali kwa vipimo zaidi ili ujue tatizo nini hiloMsaa wa ushauri na maoni wadau ni zaidi ya week sasa kila wakati ninapo taka kupata haja kubwa tumbo linani kata kidogo na hua napata choo kilaini sana. Shida inaweza kua nini wanazengo?