Sioni Wabunge kuwatetea watumishi machinga wala wasaka ajira

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
3,086
4,881
Hakika dhana ya kuwa wabunge ni watetezi wa wananchi binafsi siioni kabisa.

Isitoshe pia kusema sioni bunge kuibana serikali zaidi ya kuipongeza.

Huu ni mwaka wa 6 toka toka serikali ya awamu ya 5 imeingia madarakani.Katika hiyo miaka 6 watumishi wa umma wamekuwa yatima hawajaongezewa mishahara zaidi ya kufuta hata posho zao. Serikali imekuwa ikitoa ahadi zisizotekelezeka kuwa kamati ya kuboresha mishahara ipo kwenye hatua nzuri za kukamilisha viwango vya mishahara.

Na haya maneno yamekuwa yakijirudia na kutamka na hayati rais magufuli,waziri mkuu majaliwa na aliyekuwa waziri wa utumishi mkuchika lakini mpaka leo hakuna cha maboresho ya mishahara.

Suala la machinga limekuwa lipo kisiasa zaidi na sio kiuchumi.

Machinga kila kukicha ni matamko wajiandae kuondoka lakini hakuna mipango ya kudumu ya kuwaandalia maeneo ya kudumu ili wafanye ujasilia mali wao.

Suala la wasaka ajira ndio halizungumzwi kabisa zaidi ya kuambiwa mjiajiri huwa najiuliza wajiajiri kwa mazingira gani mitaji wanapata wapi?

Wasaka ajira

Wengi wao walisomeshwa kwa mikopo ya bodi ya mikopo wanajiuliza tutalipaje hiyo mikopo na ajira hakuna?

Masuala yote haya wabunge walipaswa waibane serikali ili ieleze kwa kina mikakati ya kutatua.

Vikao vyote vya bunge katika miaka 6 hakuna hata kikao kimoja kilichozungumzia masuala kama vile hakuna.

Najiuliza hivi kweli wabunge hawayajua matatizo ya mishahara kwa watumishi?

Hivi kweli wabunge hawajui taabu wanayopata wamachinga ktk majimbo yao?

Hivi kweli wabunge hawajui tatizo la ajira kwa vijana?

Hakika inasikitisha kwa wabunge kutowapigani wananchi hawa badala yake wapo bungeni kuisifia serikali badala ya kuibana itatue matatizo haya.

Wahenga walisema "Aliye shiba hamjui mwenye njaa" tunajua wabunge mishahara,magari na posho za kutosha.


Sent from my sm-j600f using jamiiforums mobile App
 
Kawe ndio imepata Mbunge Gwajima anayekwenda kwa Wananchi
Wabunge wengine wakirudi kwenye majimbo yao wanawakusanya watu wanaofahamiana wanakwenda bar na kupiga pombe.
Kazi iendelee
 
Hakika dhana ya kuwa wabunge ni watetezi wa wananchi binafsi siioni kabisa.

Isitoshe pia kusema sioni bunge kuibana serikali zaidi ya kuipongeza.

Huu ni mwaka wa 6 toka toka serikali ya awamu ya 5 imeingia madarakani.Katika hiyo miaka 6 watumishi wa umma wamekuwa yatima hawajaongezewa mishahara zaidi ya kufuta hata posho zao. Serikali imekuwa ikitoa ahadi zisizotekelezeka kuwa kamati ya kuboresha mishahara ipo kwenye hatua nzuri za kukamilisha viwango vya mishahara.

Na haya maneno yamekuwa yakijirudia na kutamka na hayati rais magufuli,waziri mkuu majaliwa na aliyekuwa waziri wa utumishi mkuchika lakini mpaka leo hakuna cha maboresho ya mishahara.

Suala la machinga limekuwa lipo kisiasa zaidi na sio kiuchumi.

Machinga kila kukicha ni matamko wajiandae kuondoka lakini hakuna mipango ya kudumu ya kuwaandalia maeneo ya kudumu ili wafanye ujasilia mali wao.

Suala la wasaka ajira ndio halizungumzwi kabisa zaidi ya kuambiwa mjiajiri huwa najiuliza wajiajiri kwa mazingira gani mitaji wanapata wapi?

Wasaka ajira

Wengi wao walisomeshwa kwa mikopo ya bodi ya mikopo wanajiuliza tutalipaje hiyo mikopo na ajira hakuna?

Masuala yote haya wabunge walipaswa waibane serikali ili ieleze kwa kina mikakati ya kutatua.

Vikao vyote vya bunge katika miaka 6 hakuna hata kikao kimoja kilichozungumzia masuala kama vile hakuna.

Najiuliza hivi kweli wabunge hawayajua matatizo ya mishahara kwa watumishi?

Hivi kweli wabunge hawajui taabu wanayopata wamachinga ktk majimbo yao?

Hivi kweli wabunge hawajui tatizo la ajira kwa vijana?

Hakika inasikitisha kwa wabunge kutowapigani wananchi hawa badala yake wapo bungeni kuisifia serikali badala ya kuibana itatue matatizo haya.

Wahenga walisema "Aliye shiba hamjui mwenye njaa" tunajua wabunge mishahara,magari na posho za kutosha.


Sent from my sm-j600f using jamiiforums mobile App

Yaani watu hawaelewi wamachinga hawalipi kodi lakini wanachangia kukosesha kodi. Hivyo ukiwaunga mkono ina maana wabunge haohao waje na tozo za kuziba mapengo ya mapato yanayosababishwa na haohao! Sasa hapa ni kuchagua pilipili madarasa ya watoto au uchafuzi wa mazingira, ukwepa kodi na uzuiaji wa barabara. Wabunge hapa wametegwa
 
Siasa ni fursa ya kujijenga, wapo bungeni ili waneemeke sio kwa ajili ya wananchi
 
Hakika dhana ya kuwa wabunge ni watetezi wa wananchi binafsi siioni kabisa.

Isitoshe pia kusema sioni bunge kuibana serikali zaidi ya kuipongeza.

Huu ni mwaka wa 6 toka toka serikali ya awamu ya 5 imeingia madarakani.Katika hiyo miaka 6 watumishi wa umma wamekuwa yatima hawajaongezewa mishahara zaidi ya kufuta hata posho zao. Serikali imekuwa ikitoa ahadi zisizotekelezeka kuwa kamati ya kuboresha mishahara ipo kwenye hatua nzuri za kukamilisha viwango vya mishahara.

Na haya maneno yamekuwa yakijirudia na kutamka na hayati rais magufuli,waziri mkuu majaliwa na aliyekuwa waziri wa utumishi mkuchika lakini mpaka leo hakuna cha maboresho ya mishahara.

Suala la machinga limekuwa lipo kisiasa zaidi na sio kiuchumi.

Machinga kila kukicha ni matamko wajiandae kuondoka lakini hakuna mipango ya kudumu ya kuwaandalia maeneo ya kudumu ili wafanye ujasilia mali wao.

Suala la wasaka ajira ndio halizungumzwi kabisa zaidi ya kuambiwa mjiajiri huwa najiuliza wajiajiri kwa mazingira gani mitaji wanapata wapi?

Wasaka ajira

Wengi wao walisomeshwa kwa mikopo ya bodi ya mikopo wanajiuliza tutalipaje hiyo mikopo na ajira hakuna?

Masuala yote haya wabunge walipaswa waibane serikali ili ieleze kwa kina mikakati ya kutatua.

Vikao vyote vya bunge katika miaka 6 hakuna hata kikao kimoja kilichozungumzia masuala kama vile hakuna.

Najiuliza hivi kweli wabunge hawayajua matatizo ya mishahara kwa watumishi?

Hivi kweli wabunge hawajui taabu wanayopata wamachinga ktk majimbo yao?

Hivi kweli wabunge hawajui tatizo la ajira kwa vijana?

Hakika inasikitisha kwa wabunge kutowapigani wananchi hawa badala yake wapo bungeni kuisifia serikali badala ya kuibana itatue matatizo haya.

Wahenga walisema "Aliye shiba hamjui mwenye njaa" tunajua wabunge mishahara,magari na posho za kutosha.


Sent from my sm-j600f using jamiiforums mobile App
Ndugu nataka kukumbusha serikali ya awamu ya tano ilishia mwezi machi na huu sasa ni mwezi wa 6 tokea serikali ya awamu ya sita ianze kazi na sasa Rais wa awamu ya 6 anaendelea kuweka mambo sawa kati ya mengi yaliovurugwa na kivuruge likiwemo suala la ajira na machinga.
 
Acheni spinning,hiyo serikali ya awamu ya 6 ilichaguliwa lini?Unapata faida gani hasa?Sera anayoitekeleza huyo unayesema ni wa awamu ya 6 ni ipi,ni ya chama gani?CCM kwa mtindo huu mnaidumaza nchi na hamjifunzi.You are so inconsistent,kila awamu au kila Uchaguzi mnaanza kama vile mmezaliwa upya.Mmejitungia na Sheria kuwa Ilani isipotekelezwa siyo kosa na hakuna lazima carrying forward of activities.Matokeo yake tunayaona kwenye issue ya Katiba.Ilani ya 2010-2015 haikuwa na Uandishi wa Katiba ila tukaingia kwenye mchakato uliokwamishwa,2015-2020 ikasemekana mchakato utakamilishwa na tulisikia siyo kipaumbele cha Mtawala na kutumaliza kabisa 2020-2025 suala hill limefutwa kwenye Ilani na halijadiliki kabisa maana haipo katika Ilani.
Tunataka Katiba na hatutaki visingizio.Ikilazimu tuahirishe hats sensa lakini Katiba ipatikane.Kupanga ni kuchagua.
 
Ndugu nataka kukumbusha serikali ya awamu ya tano ilishia mwezi machi na huu sasa ni mwezi wa 6 tokea serikali ya awamu ya sita ianze kazi na sasa Rais wa awamu ya 6 anaendelea kuweka mambo sawa kati ya mengi yaliovurugwa na kivuruge likiwemo suala la ajira na machinga.
Walivuruga wote

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
SOMETIMES NAKAA NAJIULIZA , HIVI HII NCHI INAELEKEA WAPI ???

LINI KATIBA MPYA ITAPATIKANA ??

NA NINANI WAKUCHOCHEA MCHAKATO HUO WA KATIBA MPYA???

LINI TUTANUFAIKA NA RASILIMALI ZA NCHI YETU ???

NAJIULIZA NAJIULIZA NAJIULIZA NAJIULIZA daaaaaah !!!_
 
Kwa watumishi wa umma sitii neno ila angalau wao wapo vibaruani kunà wengine huku mpaka wazazi wanadhani tulidisco maana michongo hakuna tena
Ila kuhusu wamachinga serikali utaionea tu bure wale viumbe hawabebeki asee , bila kuwakazia wanapanga makolokolo yao mpaka kwenye reli au kwenye runaway ya n ndege wanaujasiri wa ajabu sana
 
UNATAKA machinga watetewe kwa lipi?? Wajaze barabara zote tukose pa kupita ndio Unyonge huo??? Acheni mambo ya kienyeji..Watu wote wanaofanya biashara ni serikali inawataftia au..
 
Hakika dhana ya kuwa wabunge ni watetezi wa wananchi binafsi siioni kabisa.

Isitoshe pia kusema sioni bunge kuibana serikali zaidi ya kuipongeza.

Huu ni mwaka wa 6 toka toka serikali ya awamu ya 5 imeingia madarakani.Katika hiyo miaka 6 watumishi wa umma wamekuwa yatima hawajaongezewa mishahara zaidi ya kufuta hata posho zao. Serikali imekuwa ikitoa ahadi zisizotekelezeka kuwa kamati ya kuboresha mishahara ipo kwenye hatua nzuri za kukamilisha viwango vya mishahara.

Na haya maneno yamekuwa yakijirudia na kutamka na hayati rais magufuli,waziri mkuu majaliwa na aliyekuwa waziri wa utumishi mkuchika lakini mpaka leo hakuna cha maboresho ya mishahara.

Suala la machinga limekuwa lipo kisiasa zaidi na sio kiuchumi.

Machinga kila kukicha ni matamko wajiandae kuondoka lakini hakuna mipango ya kudumu ya kuwaandalia maeneo ya kudumu ili wafanye ujasilia mali wao.

Suala la wasaka ajira ndio halizungumzwi kabisa zaidi ya kuambiwa mjiajiri huwa najiuliza wajiajiri kwa mazingira gani mitaji wanapata wapi?

Wasaka ajira

Wengi wao walisomeshwa kwa mikopo ya bodi ya mikopo wanajiuliza tutalipaje hiyo mikopo na ajira hakuna?

Masuala yote haya wabunge walipaswa waibane serikali ili ieleze kwa kina mikakati ya kutatua.

Vikao vyote vya bunge katika miaka 6 hakuna hata kikao kimoja kilichozungumzia masuala kama vile hakuna.

Najiuliza hivi kweli wabunge hawayajua matatizo ya mishahara kwa watumishi?

Hivi kweli wabunge hawajui taabu wanayopata wamachinga ktk majimbo yao?

Hivi kweli wabunge hawajui tatizo la ajira kwa vijana?

Hakika inasikitisha kwa wabunge kutowapigani wananchi hawa badala yake wapo bungeni kuisifia serikali badala ya kuibana itatue matatizo haya.

Wahenga walisema "Aliye shiba hamjui mwenye njaa" tunajua wabunge mishahara,magari na posho za kutosha.


Sent from my sm-j600f using jamiiforums mobile App
Watateteaje uchafu jijini?
 
Kumbuka wabunge wote unaowaona Ni wa kuteuliwa. Kwa maneno mengine hawakuchaguliwa au kwa maneno rahisi hawafit mle ndani, yaani wabunge wanaostahili kuwa bungeni waliachwa.
 
Back
Top Bottom