Hiyo biashara nayo feki. Wakanunuliwa mwili lkn imani na Roho kulekule. Ukiona naibu meya wa jiji alivyopatikana. Huenda huo ni mradi wa haraka haraka kupata mshiko wa kujenga ma gorofa kama dab. Wajanja hawa we Acha tuMmeanzisha mahakama ya mafisadi kwa sasa wanaishi ndege na popo. kila anayekamatwa anaishia kuachiwa kwamba mwendesha mashtaka hana nia ya kuendelea na kesi.
Serikali ya CCM ni kama filamu ya vichekesho maana wapinzani kwa sasa ni kama mmewafunga midomo na sasa Vita ya ufisadi imewashinda na kuanza kuulaumu Upinzani.
Endeleeni kununua viongozi wa upinzani labda mtafanikiwa