Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,149
- 2,784
Habari za asubuhi wakuu,
Nimekutana na hichi kituko mara nyingi na nimejaribu kukivumilia kimenishinda inabidi nitoe duku duku langu.
Taasisi za umma ni kwaajili ya wananchi, na taasisi hizi zimekuwa na namba ambazo zinawekwa kupitia wavuti zao, au katika majarida mbali mbali lengo likiwa endapo mtu anapohitaji huduma hasa katika taasisi hizi aweze kuwasiliana nao moja kwa moja.
Kama tunavyofahamu taasisi nyingi zipo mbali na hazipo katika kila eneo analoishi mwananchi na hata kama zitakuwepo ofisi basi ofisi hizi zitakuwa katika mgawanyo wa kanda au kiwilaya ambapo si kila mtu anaweza kupafikia kwaajili ya kujipatia huduma katika taasisi hizi za umma.
Kero ni hili la hizo namba kutokuwa hewani masaa ya kazi, au zinakuwepo hewani masaa ya kazi na hazipokelewi.
Wakurugenzi na makatibu wa taasisi za umma anzisheni kitengo cha mawasiliano na kama kipo na hakifanyi kazi kuna umuhimu gani wa nyie kuwa kwenye hivyo viti mnavyo vikalia au kuna umuhimu gani wa kuweka namba kupitia wavuti zenu?
Liwafikie hili
MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA
Nawasilisha
Balvejmumt
Nimekutana na hichi kituko mara nyingi na nimejaribu kukivumilia kimenishinda inabidi nitoe duku duku langu.
Taasisi za umma ni kwaajili ya wananchi, na taasisi hizi zimekuwa na namba ambazo zinawekwa kupitia wavuti zao, au katika majarida mbali mbali lengo likiwa endapo mtu anapohitaji huduma hasa katika taasisi hizi aweze kuwasiliana nao moja kwa moja.
Kama tunavyofahamu taasisi nyingi zipo mbali na hazipo katika kila eneo analoishi mwananchi na hata kama zitakuwepo ofisi basi ofisi hizi zitakuwa katika mgawanyo wa kanda au kiwilaya ambapo si kila mtu anaweza kupafikia kwaajili ya kujipatia huduma katika taasisi hizi za umma.
Kero ni hili la hizo namba kutokuwa hewani masaa ya kazi, au zinakuwepo hewani masaa ya kazi na hazipokelewi.
Wakurugenzi na makatibu wa taasisi za umma anzisheni kitengo cha mawasiliano na kama kipo na hakifanyi kazi kuna umuhimu gani wa nyie kuwa kwenye hivyo viti mnavyo vikalia au kuna umuhimu gani wa kuweka namba kupitia wavuti zenu?
Liwafikie hili
MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA
Nawasilisha
Balvejmumt