Sioni umuhimu wa facebook kwa mwanafunzi, siwezi jiunga nayo nitajiunga muda ukifika - Moses Swai

mkuu mi nimepiga azania boys 6 years na wale wote wanaopata maziro form six pale ni wageni waliotoka shule zenye mazingira tofauti na a.s.s; pili asikudanganye mtu ukiacha 1998 pepa za mara ya kwanza zilivuja zikarudiwa early 1999, miaka yote nilokaa pale ckuwahi kupata/kuona pepa ya kweli. Kuhusu walimu a.s.s hakukuwa na walimu wa kutosha mfano toka naanza form 5 hadi namaliza 6 hatukuwa na mwalimu wa chemistry darasani; zaidi tulikuwa tunasoma tuition kwa maku maku, practical za physics tunafanyia pugu sec kwa malipo ya 1000/ day. nasema dogo mshamba kwa kuwa anawatisha wenzake, kusoma sio jela unaweza ukaangalia movies, tv,facebook ukajirusha na at the end uka pass na grade nzuri tu. (azania style)

mkuu sio anawatisha jua usemi wa huyu kijana naamini utawaelimisha hata wale watoto wa udsm na vyuo vingine wanaoshindana na watu walio maofisini wameuziwa wana relax na jf ..kuna watu sikatai waweza faulu hata ukiwa unaenda club ndio maana sishangai kuna bwabwa moja hapo jangwani 1999 liliwakimbiza kweli kweli ila anachosema ni kweli usiweke mazingira watoto wakajazana jf/facebook na kucha kusoma wengi wao wanathirika sababu wanatumia muda wao mwingi kwenye mitandao siku ya pepa mod anakula castlelight pale breakpoint huku didy akituma ya pili na tatu kummaliza kabisa

so ni vyema wanafunzi aijalishi sec /chuoni achaneni na kushinda kwenye mitandao mi kuna sehemu pale mwenge cafe inajazana watoto wa kike kwa kiume wadogo wengine wana sare zao ukisikiliza mazungumzo yao utajua huyu mtoto kwa nini ataki mwingine analazimisha tumtumie request huyu aisee so handasome wewew eeeeee unapenda facebook bora uje jf utakutana na wapendanao huko mijianaume mingi inatumia picha za kike utampenda mwanaume mwenzio mje kudai mmebakwa
 
Ni mpumbavu tu huyo kijana, facebook ina matatizo gani? kama utaimis use facebook huo ni upumbavu wako, lakini mtu mwenye akili timamu leo hii hawezi ku underestimste the power of Internet.


hahaha dogo ana complicate maisha ....
 
ina maana wewe pdidy umefika mpaka university? Au ulikwenda pale kwa computer short course? Maana umenistua sana!!
sio tu university ma university hapo nilipita kuchukua degre kabla ya kwenda kingine kulilia masters labda nikupe ka hints kidogo nilibahatika kupitia st schools ndio maana leo tunacheza na jf /na mitandao mengine tukiwa na familia na elimu yetu nyumba zetu gari zetu ikiwemo za weekend sio unaendesha tu gari ili mradi uonekane hapana kuna special car kwa ajili ya weekend sikutambii nakupa moyo uachane na mitandao uje kutoka kuefeli kwako huruma kwangu najua ukiniona ama kunijua siku moja utanipiga mzinga na siwezi kukuacha posta unaomba 500 kama ndugu yangu..komaa na shule..nyumbani nimeweka watoto wawili nasomesha mpwa ukiacha wangu ..mmoja nimeanza nae form6 dingi akamtupa kimtindo wakati copyright na mie leo amemaliza chuo na navyoongea yuko NBC Town nimempa miezi saba ajitayarishie maisha aondoke kutayarisha kusaidia wenzako...so unaweza ona umuhimu wa elimu ninavyozingatia sio kama napenda kuenjoy life hapana niliteseka kwa muda hata leo mke wangu nkimwambia twende kempensik/movenpick anakuchoka sababu amekuzoea ni maisha tu ukipangilia mpwa wanguuuuuuuuuu nina wivuuuuuuuuu nione kila member ametoka aibe asikamatwe
 
Dogo kasoma school ya milioni 7 sijui kwa mwaka... unategemea nini...!!! ni sawa sawa na man city kuchukuwa ubingwa wa EPL ...
 
We ushamaliza kile cha ualimu eckenford university tanga hapo hapo college?niliskia walitaka kufunga ndio nimeshauri usikimbilie kuona didy amejinyosha na jf siku nzima ukangangana na wewe kukesha utalia mi naandika nikiwa kwenye ac nasubiri raisi akiondoka nikasomee u phd wewe ???
Rahar ya bata umpasuemwenyewe usisubiri kupasuliwa yakhe
 
mkuu sio anawatisha jua usemi wa huyu kijana naamini utawaelimisha hata wale watoto wa udsm na vyuo vingine wanaoshindana na watu walio maofisini wameuziwa wana relax na jf ..kuna watu sikatai waweza faulu hata ukiwa unaenda club ndio maana sishangai kuna bwabwa moja hapo jangwani 1999 liliwakimbiza kweli kweli ila anachosema ni kweli usiweke mazingira watoto wakajazana jf/facebook na kucha kusoma wengi wao wanathirika sababu wanatumia muda wao mwingi kwenye mitandao siku ya pepa mod anakula castlelight pale breakpoint huku didy akituma ya pili na tatu kummaliza kabisa

so ni vyema wanafunzi aijalishi sec /chuoni achaneni na kushinda kwenye mitandao mi kuna sehemu pale mwenge cafe inajazana watoto wa kike kwa kiume wadogo wengine wana sare zao ukisikiliza mazungumzo yao utajua huyu mtoto kwa nini ataki mwingine analazimisha tumtumie request huyu aisee so handasome wewew eeeeee unapenda facebook bora uje jf utakutana na wapendanao huko mijianaume mingi inatumia picha za kike utampenda mwanaume mwenzio mje kudai mmebakwa


Ok mkuu works for some , na kwa wengine ni kweli Facebook ni sumu. thanks
 
We ushamaliza kile cha ualimu eckenford university tanga hapo hapo college?niliskia walitaka kufunga ndio nimeshauri usikimbilie kuona didy amejinyosha na jf siku nzima ukangangana na wewe kukesha utalia mi naandika nikiwa kwenye ac nasubiri raisi akiondoka nikasomee u phd wewe ???
Rahar ya bata umpasuemwenyewe usisubiri kupasuliwa yakhe


hahahaha didy bana... mbona unatudharau tuliosoma uwalimu...??
 
hahahaha didy bana... Mbona unatudharau tuliosoma uwalimu...??

teeheee teeeheee sorry mpwa wangu nilishasahau bado unadai serikalini unajua kuna mpogoro mwenzangu ameniwashia ikabidi nimtie moyo huku yeye akiangaika na test1,2,3 asbiri final wenzio tushatoka huko tunasubiri jk amalize muhula tumalizie phd ,,tukisoma sasa watasema jamaa ameiba wapi au sababu yuko serikalini ..akimaliza mzee naplan kujistaafisha kwa maslahi ya umma nikasome tena
mpwa naiheshimu elimmu yetu ndio maana dada yangu wa tatu niliamua kumuozesha kwa mwalimu wa azania tena kipindi cha mgomo mkidai mishara sijuikama mshalipwa mpwa na mie nikadai mahari yangu iliobakia maana nailiona aibu unampa mtu dada yako ukadai huku na yeye anashinda kwenye mitaa kwa maandamano nkamwambia deni langu aliishi hata kama miaka 9 utalipa ......jana nimekuwa na furaha sana ma dk kupandishwa mshahara kuna dada yangu mwingine wa pili nin deni kwa shemeji nilimweka wazi kwenye vijithread vyao ndio maana usione nilikuwa na wafagilia ninajua nyuma kuna nini wakitoka shemeji zangu na nyie amgomi nipambane na serikali jf..gomeni sema mna mwenyekiti wa chama muhuni sana akiingia kula hewa ya ikulu akitoka anakuwa simbachawene mpaka namwogopa..labda mumuondoe yule ndiomtalipwa madeni yenu

trust
 
Yule kijana alieongoza matokeo ya elimu ya kidato cha nne
amesema kupitia mtanzania gazeti kwamba mpaka sasa aoni umuhimu wa yeye kama mwanafunzi ama
wanafunzi wenzake kujiunga na neno facebook..unajua nduguyangu nyumban kuna computer
tatu lakini mzee huwa anauliza huna email ama ...namwambia ninazo naangalia mara moja moja
akamuuliza uangalii hata bbc vipi.wenzako wanashinda na face book akamwambia muda ukifika
ntajiunga nayo mzee

alipoulizwa uhusiano wa face book na elimu na madhara yake swai alisema sio nabhatisha kwa kusema
sitaki kjiunga na hiyo nanii yao nina marafiki wanashinda masaa mawili matatu na face book ...mpaka
leo najiuliza muda wa kusoma wanapata wapi??siwezi angalia facebook hata lisaa limoja na nusu
unajua kwenye elimu ni lazima uwe na msimamo ni lazima ujiwekee mategemeo yako binafsi
na ujipe muda na starehee nyingine..sasa kuna marafiki zangu wengi tu wengine walikuwa wazuri wananipumulia nyuma nikiwa wa kwanza wao wa pili nikiwa wa pili wa wa kwanza walipoanza hii biashara kwa kweli sisemi msijiunge wengi walianza kutumbukia namba 6-10 na hapo sikuwa tena na mpinzani

sisemi msijiunge ila msikubali kukaa mitandaoni kupoteza muda jamani elimu ina mambo mengi sana
unatumia facebook kama mwanafunzi kwa mambo gani au wanamuda gani na kukaa uko??kama kwa mambo
yenye faida basi si vibaya lakini nashauri wasikae uko wakimaliza shule muda ukifika tutakesha huko tunavyotaka alisema moses swai

usahuri kwa wanafunzi
nashauri wanafunzi wenzangu wapange muwa wa kujisomea waweke malengo na walioko majumbani wajitahidi kuchagua mazingira mazuri ya kujisome ,wajitahidi kuepuka mazingira ya mwingiliano yanayotokea nyumbani kama kelele na mengineyo

ushauri kwa wazazi
binafsi nashukuru uhusiano mzuri kwa wazazi wangu..unajua wazazi wengi wanafwatilia watoto wao kielimu lakini awajui uhusiano wao na watoto ni muhimu kuliko matokeo ya mttooto ukimweka mtoto kwenye mazingira mazuri hata shulen atafaulu lakini ukiwa na mazingiraya kuogopana kati ya mzazi na watoto matokeo ayawezi kuwa mazuri hata ufwatilie mpaka asbh..tuwape nafasi watoto ..tuwafwatilie wasijiingize kwenye mambo mabaya anasema kijana wetu musa swai

mwisho nawatakia wotee wenye uchu wa kufaualu kama musa swai mungu awape mazingira mazuri ya kufaulu na kuwabariki huko mwendako wakati huo huo shule ya fedha imejitolea kumsomesha bure popote atakaposoma....kumaliza kidato cha sita

Hana lolote mshamba tu! Kafaulu kwa ku cram. huwezi kunishawishi kuwa katika karne hii kuna kijana ambaye anaona email au kompyuta siyo ishu.
Muda ukifika? Kwani hii ni 1984?
 
Ina maana wewe Pdidy umefika mpaka University? au ulikwenda pale kwa computer short course? maana umenistua sana!!

kumbe na wewe umeligundua hlo,maana jamaa anaonekana ni kilaza wa hali ya juu,may b alisoma pale UCC ka kozi ka computer..
 
Aache mbwembe zake bwana,tumeona ma-TO wenye A FLat kumi na sio yeye mwenye A nane na ndio TO wa kwanza kua na A flat 8,Aende mzumbe,kibaha na ilboru akapate historia zao wengi ni Masosho kinoma,mtandaoni wamo sana aache mbwembe tusije tukaja kumuumbua matokeo ya Advance,wengine hapa tumo kitambo tu na mitandao lakini tumechana olevo na advance vilevile tumekula point 3,aache kelele zake
 
Ni mpumbavu tu huyo kijana, facebook ina matatizo gani? kama utaimis use facebook huo ni upumbavu wako, lakini mtu mwenye akili timamu leo hii hawezi ku underestimste the power of Internet.
so the power of internet is only in facebook?? I stand to be corrected!
 
Mkuu mi nimepiga Azania Boys 6 years na wale wote wanaopata maziro form six pale ni wageni waliotoka shule zenye mazingira tofauti na A.S.S; Pili asikudanganye mtu ukiacha 1998 pepa za mara ya kwanza zilivuja zikarudiwa early 1999, miaka yote nilokaa pale ckuwahi kupata/kuona pepa ya kweli. Kuhusu walimu A.S.S hakukuwa na walimu wa kutosha mfano toka naanza form 5 hadi namaliza 6 hatukuwa na mwalimu wa chemistry darasani; zaidi tulikuwa tunasoma tuition kwa maku maku, practical za physics tunafanyia pugu sec kwa malipo ya 1000/ day. Nasema dogo mshamba kwa kuwa anawatisha wenzake, kusoma sio jela unaweza ukaangalia movies, tv,facebook ukajirusha na at the end uka pass na grade nzuri tu. (AZANIA STYLE)
kwa hiyo mkuu na wewe ulikuwa tz one kipindi hicho?? Hongera mkuu for that!!
 
dogo kaongea point sana sema watu wa humu cku hizi kushushuana kumezidi bana aaah!......
 
so the power of internet is only in facebook?? I stand to be corrected!
Huyo dogo ni mshamba tu, hata JF usipoitumia kwa malengo chanya bado ni sifuri tu kwako haitakusaidia kitu, Facebook imenzishwa na Mwanafunzi wa Havard ili kuwafanya wawe connected, sasa mtu mwenye mawazo finyu leo aje kuiponda facebook bila kujuwa imetukutanisha hata na watu ambao hatukutegemea kuja kuonana tena huyo ni zezeta tu.
Commucation is power. kwa kutambuwa umuhimu wa facebook leo hii karibu tovuti zote lazima iwe na option ya SHARE FACEBOOK.
 
Back
Top Bottom