assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Serikali inafanya mambo kila mtu anaona. wabunge wa CCM nao eti wanalalamika refer mbunge wa Morogoro na Mwenyekiti wa Kamati aliyetembelea kule baharini. Baada ya Rais Magufuli, CCM hakuna kuargue ni ndio mzee na ukibisha utakiona cha mtema kuni.
Sioni tofauti kati ya serikali na wabunge wa CCM kwani kama serikali ikileta mswada wowote hata uwe mbovu lazima upite ikiwa serikali imedhamiria lazima upite so kazi ya bunge imeachiwa kambi rasmi ya upinzani.
Sioni tofauti kati ya serikali na wabunge wa CCM kwani kama serikali ikileta mswada wowote hata uwe mbovu lazima upite ikiwa serikali imedhamiria lazima upite so kazi ya bunge imeachiwa kambi rasmi ya upinzani.