Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #41
Imetoka hiyoChenge ndio keshakingiwa kifua.
Imetoka hiyoChenge ndio keshakingiwa kifua.
Indeed! Birds of a feather flock togetherMagufuli na Lowasa
Amen!Hill nalo neno
Sawa sawa.Kivipi? Mimi siheshimu kiumbe bali Muumba tu!
So Lowassa is damaged goods?
Kama Tundu?Ambacho ningewashauri Cdm, ambacho of course ni kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini, waangalie mtu mwingine mbali ya Lowassa kwa uchaguzi wa 2020. Lakini hata hivyo ili Cdm ipate hati safi kama chama kinachoendeshwa kwa misingi ya kimokrasia, ni lazima mchakato wa kumpata mpeperusha bendera yake uwe wa uwazi; na ushindanishe wagombea kwa hoja na kwa maono yao kwa nchi na kusiwepo kabisa ujanjaujnaja au njia za mkato. Sidhani kama Lowassa ataweza kupita hicho kichujo.
Kama Tundu?