pua200
Member
- Dec 24, 2018
- 80
- 44
Nashangaa wanaoshangilia na kuwaweka kwenye kumbkumb zao, wanaume au wanaume wanaokumbuka wanawake waliowasababishia maumivu na kumbukumb ya kuharibiwa ukeni kwa tendo la kwanza kabisa
Sina Shaka kuwa kila binadamu anakumbuka katka mahisiano alishaawahi kuanza moja na mwenzie na happy alimuanza mosi Kum.... Na kumtoa damu hapo wapo wadada wenzangu wanaona fahar kumpa wa kwanza amuharibu aka kumfungua njia. Hiki kitu hakuna anayependa kukikumbuka na hata Mange kimaku anayetamba mitandaoni alishaawahi kuanzwa na hapo alipata uchungu na maumivu.
Wababa nao wanajikuta wanajisifu kwa kumtoa mwenzie damu
Katika kumbkumb zangu Mimi Jambo lenyewe omba mungu uto.....taratibu na mtoaji awe mtu asiwe mnyama....
Ukibakwa itakuuma zaidi...Mana unaambulia maumivu hata ile saikolojia ya kwamba uko kwenye starehe haipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina Shaka kuwa kila binadamu anakumbuka katka mahisiano alishaawahi kuanza moja na mwenzie na happy alimuanza mosi Kum.... Na kumtoa damu hapo wapo wadada wenzangu wanaona fahar kumpa wa kwanza amuharibu aka kumfungua njia. Hiki kitu hakuna anayependa kukikumbuka na hata Mange kimaku anayetamba mitandaoni alishaawahi kuanzwa na hapo alipata uchungu na maumivu.
Wababa nao wanajikuta wanajisifu kwa kumtoa mwenzie damu
Katika kumbkumb zangu Mimi Jambo lenyewe omba mungu uto.....taratibu na mtoaji awe mtu asiwe mnyama....
Ukibakwa itakuuma zaidi...Mana unaambulia maumivu hata ile saikolojia ya kwamba uko kwenye starehe haipo
Sent using Jamii Forums mobile app