CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,918
'Hutashinda!, nani kakuambia utashinda? Unawadanganya wananchi wako kuwa utamshinda huyo?.. HUTASHINDA HATA UFANYAJE" Hayo ni maneno niliyojaribu kuyanukuu kutoka kwenye ile video inayoendelea kutrend kwasasa,
Kama tujuavyo wapinzani wamelalamika mara nyingi kuhusu mwenendo wa jeshi la polisi nchini na baadae wengine wakadiriki kuliita POLICCM, kupitia ile video na hakuna TAMKO lolote hadi sasa ni wazi kuwa OCD amezungumza kutoka moyoni mwake, ama amezungumza ya huko JIKONI, hebu tafakari ile kauli ya HATA UFANYAJE, hii ina maana hata huo uchaguzi hapo ni kiini macho tu!
maana hata AFANYEJE!
Badala ya kumshambulia na kumnanga OCD ni vyema tukamshukuru Mungu ambaye amefunua wazi kitu gani kina happen ,
any way hivi game ya watani ni tarehe 18 au tarehe 7?
Na sisi tutawafunga tu HATA WAFANYEJE!!
Kama tujuavyo wapinzani wamelalamika mara nyingi kuhusu mwenendo wa jeshi la polisi nchini na baadae wengine wakadiriki kuliita POLICCM, kupitia ile video na hakuna TAMKO lolote hadi sasa ni wazi kuwa OCD amezungumza kutoka moyoni mwake, ama amezungumza ya huko JIKONI, hebu tafakari ile kauli ya HATA UFANYAJE, hii ina maana hata huo uchaguzi hapo ni kiini macho tu!
maana hata AFANYEJE!
Badala ya kumshambulia na kumnanga OCD ni vyema tukamshukuru Mungu ambaye amefunua wazi kitu gani kina happen ,
any way hivi game ya watani ni tarehe 18 au tarehe 7?
Na sisi tutawafunga tu HATA WAFANYEJE!!