mekuoko
JF-Expert Member
- Nov 15, 2012
- 418
- 365
Ni kwa vile upo hukohuko ila kiukweli OCD kakosea Sana kuonyesha kwamba anatumika na ana maelekezo ya kuhakikisha Mbowe hatashinda.Mbowe inabidi aache tabia ya kuprovoke askari polisi. Askari hao wamemlinda tangu kampeni zimeanza. Anatakiwa kuwashukuru kwa kazi nzuri wanayofanya.
Ukimprovoke polisi, anaweza kutumia njia mbalimbali za maneno au nguvu kukuweka kwenye mstari. Kamanda alitumia busara kutumia maneno badala ya nguvu.
Nampongeza kamanda kwa kulinda amani kwenye kipindi hiki fragile cha kampeni.