NYAMKANG'ILI
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 223
- 112
CCM kwa miaka huwa kinatamba kwamba ni chama "imara, chenye uongozi imara, katiba bora, sera nzuri".
LAKINI nikitazama kwa undani, sioni kama CCM ina vitu hivyo.
CCM ina mwenyekiti, na mwenyekiti ndiye KATIBA, SERA na kila kitu ndani ya CCM. Hakuna chama hapa TZ ambacho hakina democrasia, au basi tuseme kina demokrasia ambayo haijulikani hapa duniani, kama CCM. TAZAMA kwa mfano MWENYEKITI WA CCM ndiye:
(1) anayeunda KAMATI KUU, ambayo ndiyo inayoongoza chama;
(2) anaunda secretariati, ya akina KINANA kwa sasa;
(3) anabadili KATIBA na KANUNI kadri anavyoona inafaa na VIKAO CC & NEC vinabariki tu nk - JE HAPO KUNA DEMOCRASIA?
ONA, mwenyekiti CCM akitaka SITTA asiwe spika, basi ni suala la yeye kusema kuwa sasa ni zamu za akina mama FINITO au akitaka apate kura zote, anasema kila mkoa upige kura
kivyake: HAKUNA DEMOKRASI
LAKINI nikitazama kwa undani, sioni kama CCM ina vitu hivyo.
CCM ina mwenyekiti, na mwenyekiti ndiye KATIBA, SERA na kila kitu ndani ya CCM. Hakuna chama hapa TZ ambacho hakina democrasia, au basi tuseme kina demokrasia ambayo haijulikani hapa duniani, kama CCM. TAZAMA kwa mfano MWENYEKITI WA CCM ndiye:
(1) anayeunda KAMATI KUU, ambayo ndiyo inayoongoza chama;
(2) anaunda secretariati, ya akina KINANA kwa sasa;
(3) anabadili KATIBA na KANUNI kadri anavyoona inafaa na VIKAO CC & NEC vinabariki tu nk - JE HAPO KUNA DEMOCRASIA?
ONA, mwenyekiti CCM akitaka SITTA asiwe spika, basi ni suala la yeye kusema kuwa sasa ni zamu za akina mama FINITO au akitaka apate kura zote, anasema kila mkoa upige kura
kivyake: HAKUNA DEMOKRASI