Sioni faida ya SADC, is a toothless organ made for Head of States.

Punguza ubishi kijana, Last FY, TZ imeuza SADC bidhaa za zaidi ya 1 bilioni USD ukilinganisha na mauzo ya chini ya 500 USD kwenye EAC, bado tu huoni faida mojawapo ya Soko kubwa la SADC?
Wewe binafsi imekusaidia nini??
 
Kumbe hujui vizuri SADC, total GDP yake ni approx. 1.5 trillion USD na combined population ni 300 million people.

Faida yetu sisi ni access ya hilo soko kubwa na fursa ya mtaji. Wenzio akina Bakhresa na MO sasa hivi wana operate kwenye nchi nyingi za SADC huwaambii kitu.
Inategemea uchumi wa nchi zilizo kwenye hiyo jumuia, SADC ukitoa SA zinazobaki ni nchi masikini hohehahe wa kutupwa duniani kama Malawi na Zimbabwe mtafika wapi.
 
SADC ni jumuiya ya unafiki iliyosheni unafiki wa kiwango cha juu wa kiafrika.

Kwa mfano, kuna nchi kiongozi wake amegoma kwa makusudi na kejeli kuhudhuria vikao vya SADC kwa miaka kadhaa toka aingie madarakani, ghafla leo hii anapewa kuwa mwenyeji wa mkutano wa SADC huku akijivunia SADC!!!

Stupidity.
 
Inategemea uchumi wa nchi zilizo kwenye hiyo jumuia, SADC ukitoa SA zinazobaki ni nchi masikini hohehahe wa kutupwa duniani kama Malawi na Zimbabwe mtafika wapi.
Hatufaidiki kiuchumi tu mambo mengi...kuwepo kwa forum ya viongozi tu kujadili mambo yanayoihusu nchi yao ni mafanikio. Ni sawa na mimi na wewe hapa tunajadili hili suala tunaongeza maarifa na upeo wetu.

Nikukumbushe tu mgogoro wa Lesotho wa mwaka 2014 hii jumuiya ilifanikiwa kuumaliza.

Ulizotaja ni changamoto ambazo zipo....
 
Marengo na madhumuni yake yalikuwa kwa waasisi wake, lakini kwa sababu ya uongozi wa Kiafrika, wakubwa ndo wakawa SADC kwa wao kwa wao si kwa Nchi zao. Ndo maana wanatizama tu, lakini kwenye mikutano ndo hivyo, wananyanyua glas zao utawasikia, kwa afya, kwa afya... Mkutano unaisha. Wameingelea nini... mhhhhhhhh
 
Umenikumbusha kipindi ugiriki ina matatizo ya kiuchumi na jinsi EU ilivyochakalika kuokoa jahazi. Afu nikafikiria ya zimbabwe na matatizo yake ya uchumi.
 
Kumbe hujui vizuri SADC, total GDP yake ni approx. 1.5 trillion USD na combined population ni 300 million people.

Faida yetu sisi ni access ya hilo soko kubwa na fursa ya mtaji. Wenzio akina Bakhresa na MO sasa hivi wana operate kwenye nchi nyingi za SADC huwaambii kitu.
Idadi ya watu siyo issue, issue ni kwa jinsi gani utaitumia hiyo idadi, korosho tani elf 20 tu zimeozea kwenye maghala SADC ilishindwa nini kukutana na ku solve, hiyo idadi ya watu wa SADC imesaidia kitu gani.
 
Umenikumbusha kipindi ugiriki ina matatizo ya kiuchumi na jinsi EU ilivyochakalika kuokoa jahazi. Afu nikafikiria ya zimbabwe na matatizo yake ya uchumi.
Kazi kubwa ya SADC siyo kusaidiana bali ni viongozi wake kukutana kujadili madeni na kugawana umasikini.

In May 2010, the European Union provided 110bn euros ($140bn: £88bn) of bailout soft loans to Greece to help the government pay its creditors.
 
Halafu maccm yanavyojisifu et kazi anayopiga jiwe ndo mpaka kapewa uenyekiti wakati huo ni utaratibu zamu kwa zamu yaan utafikiri tangu tupate uhuru ndo mara ya kwanza Tz inakua mwenyeji daah hv jiwe siku akipewa hata uenyekiti wa kuongoza kikao cha UN kama alivyokua anapewa Jk si mpaka mbingu itajua majivuno yake jana tu bashite anaulizwa swali BBC yeye akachomekea kikao cha SADC chini ya mwenyekiti Jiwe kweli hawa jamaa washamba sn
 
Kama huoni faida brother "kausha"

Endelea na mambo mengine ambayo utaona yana faida
Kwanini ninyamaze wakati naona kabisa kodi yangu inatumika kwa mambo ambayo hayana faida kwa nchi.
 
Back
Top Bottom