moses musa
Senior Member
- Apr 25, 2017
- 164
- 97
How is the morning guys & ladies? I'm very proud to talk this issue, jamani Nina miaka 25, napenda sana watoto hasa wa kiume lakini sina hata mmoja. Hapo zamani kaka YANGU alinikanya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake, akasema utaungua dushe, nimekuwa nikiogopa hilo.
Sasa Nina ndoa na mafanikio siyaoni, japo niliwahi kumpa Mke wa MTU mimba nikakimbia kufungwa nakuchenji line YANGU, sioni hata faida ya kukumbatia pesa na kazi YANGU ni ya kusafiri na magari ni hatari nikianza kuwaza nachoka.
Menye mawazo mazuri plz
Sasa Nina ndoa na mafanikio siyaoni, japo niliwahi kumpa Mke wa MTU mimba nikakimbia kufungwa nakuchenji line YANGU, sioni hata faida ya kukumbatia pesa na kazi YANGU ni ya kusafiri na magari ni hatari nikianza kuwaza nachoka.
Menye mawazo mazuri plz