cyrax
Senior Member
- Mar 12, 2017
- 105
- 88
Kama Sera y serikali ya awamu ya 5 ya viwanda na kurahisisha maisha ya watanzania hasa kauli mbiu ya serikali ya maskini na Tanzania ya viwanda ambayo shabaha kuu ni maisha ya watanzania.
Binafsi sioni kama kuna dalili ya maisha ya Watanzania kupunguzwa makali yake, na hata kama dalili hiyo itaonekana tuitarajie kwa miaka mingi kwa Sera hizi za sasa.
Naangalia Sera ya viwanda na kulinda na kuongeza uzalishaji wa ndani ikiambatana na kufufua na kujenga viwanda vipya. Dalili za hatari zimeshaonekana hasa katika mafuta na sukari.
*Kuongeza tozo la mafuta ghafi kwa 25% kwa lengo la kulazimisha uzalishaji wa mafuta ya kupikia hapa nchini ambapo yanazalishwa chini ya asilimia arobaini (tani 150,000 hivi) kwa kutegemea mazao yanayozalishwa hapa nchini ili uzalishaji ufike tani 450,000 zinazohitajika kwa mwaka.
Wakati hakuna mikakati imara ya kuongeza uzalishaji wa mazao ghafi ya mafuta ndiyo maana uzalishaji upo chini.
Sioni kama kuna muwekezaji atakayeingiza malighafi kwa kodi ya asilimia 25% nje ya gharama zingine ni lazima bei ya mafuta itapanda zaidi kufidia gharama za uzalishaji.
WE HAVE A LONG JOURNEY TO GO.
Binafsi sioni kama kuna dalili ya maisha ya Watanzania kupunguzwa makali yake, na hata kama dalili hiyo itaonekana tuitarajie kwa miaka mingi kwa Sera hizi za sasa.
Naangalia Sera ya viwanda na kulinda na kuongeza uzalishaji wa ndani ikiambatana na kufufua na kujenga viwanda vipya. Dalili za hatari zimeshaonekana hasa katika mafuta na sukari.
*Kuongeza tozo la mafuta ghafi kwa 25% kwa lengo la kulazimisha uzalishaji wa mafuta ya kupikia hapa nchini ambapo yanazalishwa chini ya asilimia arobaini (tani 150,000 hivi) kwa kutegemea mazao yanayozalishwa hapa nchini ili uzalishaji ufike tani 450,000 zinazohitajika kwa mwaka.
Wakati hakuna mikakati imara ya kuongeza uzalishaji wa mazao ghafi ya mafuta ndiyo maana uzalishaji upo chini.
Sioni kama kuna muwekezaji atakayeingiza malighafi kwa kodi ya asilimia 25% nje ya gharama zingine ni lazima bei ya mafuta itapanda zaidi kufidia gharama za uzalishaji.
WE HAVE A LONG JOURNEY TO GO.