PRESIDA TO BE..
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 303
- 199
Ndg wanaJamiiForum.
Sitokaa niombe tena kazi uhamiaji, kwasababu ajira zenyewe wanapeana na sio kistaharabu ni kwa dharau na kutuonesha watanzania tusiokuwa na ndugu uhamiaji hatuna chetu.
Hamna noma uhamiaji, ila kama kuna mtu nduguye au babayake yuko pale mwambie waaendelee na tabia yao nzuri, POA
Sitokaa niombe tena kazi uhamiaji, kwasababu ajira zenyewe wanapeana na sio kistaharabu ni kwa dharau na kutuonesha watanzania tusiokuwa na ndugu uhamiaji hatuna chetu.
Hamna noma uhamiaji, ila kama kuna mtu nduguye au babayake yuko pale mwambie waaendelee na tabia yao nzuri, POA