Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Me and other 15,000 peoples like this
Me Too n Million others
Me and other 15,000 peoples like this
Mkuu Gracious umesema maneno mazito na haswa hiyo para ya mwisho!.
Rushwa ndio utaratibu rasmi wa kupata uongozi ndani ya CCM, this is order of the day!. Wagombea wote walikata kitu kidogo, ila mwenye kisu kikali, ndie aliyekula nyama!. Hata hivyo vikao vya maamuzi vitawajibika kumpitisha Sioi ili kulinusuru hilo jimbo!.
Siwajui sana Wameru kama ni watu wa msimamo, matokeo ya sanduku la kura ndio yatatupa picha halisi ya Wameru. Uchaguzi huu pia ndio kipimo cha kwa cha kupima upepo Jee EL anakubalika?. CCM ikishinda Arumeru, means 2015 ni EL Magogoni!. Chadema ikishinda Arumeru, hiyo itakuwa ndio kitchen Party ya CCM kujiandaa kwa send-off ya kuelekea kuwa Chama kikuu cha ipinzani, kwani ndio ufunguo wa Chadema kuingilia Magogoni!.
Kosa la siyoi ni kuwa mkwe wa lowassa....du siasa hizi....
Ukizingatia mkuu wa mkoa ,...katibu wa ccm mkoa na mlezi ..Stephen wassira wapo pale kumkaba...lowassa.
basi ivi miafrika ndo tulivyotz ndo utaicheka sana. Mkuu wa mkoa anaingia/kuongoza kikao cha chama ilhali ye ni mtu/muwakilishi wa serikali. There is no place unamtofautisha na shughuli za kiserikali na zile za kichama
Wanataka kubadilisha wachezaji dakika za majeruhi.Nimemsikia Nape akisema kupitia TBC1 kuwa ETI si lazima aliyeshinda kura za maoni Arumeru Mashariki kupitia Chama Cha Magamba(CCM) akateuliwa na vikao vya CCM kuwa mgombea wa Chama hicho katika uchaguzi mdogo ujao!! Hii imenistua kwanini Nape aseme hili kwa Arumeru na hakusema kwa Igunga mbona???.... Nahisi panamchezo wa kumuondoa SIOI mkwe wa Waziri Mkuu aliyefukuzwa na bunge kwa kashifa ya Richmond na Dowans asigombee ubunge pale na sasa vuvuzela wao anauandaa umma kupokea maamuzi hayo...
PEOPLES.........................
Hiki Kithungu kwenye red Ng'wana Sweke ni cha Ki-Malawi hiki!Me and other 15,000 peoples like this
Kunusuru jimbo ndio nini mkuu, bado mna fikra kuwa majimbo ni ya ccm? kwenye maswala ya rushwa nakuaminia, wenyewe mnaita vibahasha vya khaki, mtasoma plate namba safari hii.
Kinachotakiwa Chadema wasionyeshe kumtaka fulani acha CCM ijikoki yenyewe, ila CDM wawe tayari kumkabiri yeyote atakayepitishwa.Jina lolote litakalopitishwa lazima ccm igawanyike vipande vipande.
Kwa vile jimbo lilikuwa CCM, na mgombea alichaguliwa in absentia, CCM wana kibarua kidogo tuu kulinusuru libaki kwao na Chadema ndio wana kazi ya kulitwaa!. Kwenye issues za little brown envelopes, hiyo ndio "modus operandus" ya siasa za CCM!.Kunusuru jimbo ndio nini mkuu, bado mna fikra kuwa majimbo ni ya ccm? kwenye maswala ya rushwa nakuaminia, wenyewe mnaita vibahasha vya khaki, mtasoma plate namba safari hii.
Asante, ushindi wa Sioi ni obvious, kama baba alishinda in absentia, na Chadema ilimsimamisha mtu huyo huyu, what chances does he stand kushindana na mwana mfalme?!. Usitegemee kupata matokeo tofauti, ukitumia watu wale wale na mbinu zile zile!.Angalau hapa umetoa a balanced statement sijui labda kwa sababu inamhusu EL au vipi, ila sikubaliani na wewe kuwa kumpitisha Sioi ni kulinusuru jimbo maana sioni safari hii CCM watatokea wapi.
Pasco CCM ya mwaka jana si hii tunayoiona leo ya kina Nape ya kujivua magamba it is divided and you know that you cant deny na Chadema ya mwaka jana si hii ya leo hapo hakuna ubishi. Tukirudi kwa mwana wa mfalme-kwanza kuitwa hivyo tu kunampunguzia kura kwamba jimbo liwe kwenye familia moja kwa miaka 30? ina maana hakuna familia zingine? pili, Sioi anapingwa si tu na wanachama wa kawaida bali na viongozi wa juu, tatu jimbo liko Arusha bwana si Uzini, kumbuka Arusha mjini liliangukia Chadema pamoja na mgombea wa CCM kusimamiwa na manywele.Asante, ushindi wa Sioi ni obvious, kama baba alishinda in absentia, na Chadema ilimsimamisha mtu huyo huyu, what chances does he stand kushindana na mwana mfalme?!. Usitegemee kupata matokeo tofauti, ukitumia watu wale wale na mbinu zile zile!.
Hahahahahhaaahaha, umenichekesha wewe gamba! kwa hiyo yanayosemwa siyo ya kweli mkuu zomba?
Asante, ushindi wa Sioi ni obvious, kama baba alishinda in absentia, na Chadema ilimsimamisha mtu huyo huyu, what chances does he stand kushindana na mwana mfalme?!. Usitegemee kupata matokeo tofauti, ukitumia watu wale wale na mbinu zile zile!.
Kwani siyo kweli? ingekuwa jambo jema kama ungekanusha kwa hoja.
mbona sielewi sasa magazeti ya yanasema eti SIOI si MTZ