pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 461
- 644
Wakuu kama kichwa kisemavyo,katika pitapita zangu na miangaiko ya hapa na pale hapa jijini nimeona tabia moja ambayo acha niseme hapa jf.
Kama ilivo kawaida yetu wanaume kila akipita mwanamke lazima tugeuze shingo kuangalia kama kuna mzingo nyuma au hapana,basi hii hali imezidi kushika atamu kwani hata wanawake nao siku hizi wamekuwa kama wanaume kila akipita mwanamke kama yeye et nae lazima acheki nyuma kuna nini?
Kwakwel dunia tunakoenda sjui ni wapi tu.inakuwaje mwanamke unageuza shingo kuangalia maumbile ya mwanamke mwenzio,hiyo tabia nimeona sana tena sana.
Ushauri wangu kwenu nyie wanawake acheni hiyo tabia kwani ipo kwa wanaume tu na tuliumbwa hivyo,hizi zama za matako zitapita tu kama zilivokuwa zama za mguu wa bia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilivo kawaida yetu wanaume kila akipita mwanamke lazima tugeuze shingo kuangalia kama kuna mzingo nyuma au hapana,basi hii hali imezidi kushika atamu kwani hata wanawake nao siku hizi wamekuwa kama wanaume kila akipita mwanamke kama yeye et nae lazima acheki nyuma kuna nini?
Kwakwel dunia tunakoenda sjui ni wapi tu.inakuwaje mwanamke unageuza shingo kuangalia maumbile ya mwanamke mwenzio,hiyo tabia nimeona sana tena sana.
Ushauri wangu kwenu nyie wanawake acheni hiyo tabia kwani ipo kwa wanaume tu na tuliumbwa hivyo,hizi zama za matako zitapita tu kama zilivokuwa zama za mguu wa bia.
Sent using Jamii Forums mobile app