CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Kuna Mjadala sana siku kadhaa kuhusu Wakenya na ishunzima ya wakenya kuwa wengi sana Tanzania kwa uwekezaji ilihali sisi tukiwa na kampuni kama 30.
Niliwahi enda Kigoma na nilikaa kaa sana kule na katika kakaa yangu nilikutana na Waganda, Warundi, Wanywarwanda yaani wale wana faidi sana Kigoma nazani kuliko sisi.
Nilicho choka kabisa ni baada ya kuambia kwamba Rwanda ikichukua ule muhogo wana uprocess na wana pelekea Gaboni west Africa kwa kipitia Kongo nazani.
Uganda nao wanachukua ule muhogo wana u process na kwenda kuuza Sudani kusini, Uganda pia wanalima sana Muhogo ila nazani hautoshi kwa wao ku Export then wanakuja kuchukua Kigoma.
Burundi pekee ndo wanao chukua ule muhogo na kuutumia wenyewe.
Ukienda kule Mang'ola Karatu Wakenya wana lima sana vitunguu wamekamata mashamba ya kutosha, wako kule Moshi wanalima nyanya sana, Wako Arusha wanalima nyanya pia.
Watanzania wengi Kigoma tunaichukulia kama sehemu ya hovyo, mbali, kubaha, polini lakini Warwanda, Waganda wanapiga Dolla kupitia muhogo wa Kigoma na wananunuakwa bei ndogo sana.
Mentality zetu ni za kipekee sana aiseee, bado mentality za Ujamaa zinatusumbua sana.
Niliwahi enda Kigoma na nilikaa kaa sana kule na katika kakaa yangu nilikutana na Waganda, Warundi, Wanywarwanda yaani wale wana faidi sana Kigoma nazani kuliko sisi.
Nilicho choka kabisa ni baada ya kuambia kwamba Rwanda ikichukua ule muhogo wana uprocess na wana pelekea Gaboni west Africa kwa kipitia Kongo nazani.
Uganda nao wanachukua ule muhogo wana u process na kwenda kuuza Sudani kusini, Uganda pia wanalima sana Muhogo ila nazani hautoshi kwa wao ku Export then wanakuja kuchukua Kigoma.
Burundi pekee ndo wanao chukua ule muhogo na kuutumia wenyewe.
Ukienda kule Mang'ola Karatu Wakenya wana lima sana vitunguu wamekamata mashamba ya kutosha, wako kule Moshi wanalima nyanya sana, Wako Arusha wanalima nyanya pia.
Watanzania wengi Kigoma tunaichukulia kama sehemu ya hovyo, mbali, kubaha, polini lakini Warwanda, Waganda wanapiga Dolla kupitia muhogo wa Kigoma na wananunuakwa bei ndogo sana.
Mentality zetu ni za kipekee sana aiseee, bado mentality za Ujamaa zinatusumbua sana.