Sio Wakenya tu wanaotuzidi Ujanja, hata Warundi, Waganda na Wanywaranda pia

Siku zote mwenye hela yenye nguvu ndio ana faida zaidi akienda kuwekeza sehemu hela imeshuka thamani, ndio maana wanakimbilia kwetu.
 
Mkuu umeongea point kubwa sana.

Lakini bongo Kuna changamoto sana halafu hatupendani sisi kwa sisi, nikupe mfano wangu Kuna shamba huku Sumbawanga ni la kanisa bhasi nikaomba Ekari 40 nilime alizeti Toka mwaka Jana mwezi wa9, mwezi wa 10 mwishoni ndio nilikuja kuonyeshwa shamba tena ni baada ya kuwasumbua sanaaa.

Bhasi msimu wa kulima alizeti huku ni mwezi February kwasababu mvua zinakua zimepungua kiasi, kipindi nasubiri msimu nashangaa huyo mzee kanifuata ananiambia shamba alilonipa amempa mtu mwingine, DAAH NILISIKITIKA SANA NIKASEMA POA HAINA SHIDA.

Kuna eneo niliomba nilime kiangazi kwasababu maji yapo karibu walinibania kunipa eti hapo Kuna mtu huwa analima 🙄🙄🙄 Amekuja mkenya mmoja hivi wamempa eneo lilelile nililoomba... NIKAPIGA MOYO KONDE SITAKUJA KUOMBA TENA SHAMBA KWA HILO KANISA JAPOKUA NASALI HAPOHAPO KANISANI.

BONGO NYOSO SANAAAA, TUMEJAA HILA, WIVU NA HUSUDA NA HIZI TABIA HATA VIONGOZI WETU WAKUU WA KISERIKALI WANAZO, YAANI WAKIONA CHALIII UNATAKA KUFANYA VITU VIKUBWA UTAONA VIUZIBE VINGI SANAAAAA.
 
Me natokea Kigoma kasulu na nimefanikiwa kuishi Burundi pia aisee Burundi wanatuzidi mbali tu maana mhogo huo wanatengeneza Yebo yebo wanakuja kutuuzia, haya kule wanaviwanda vya nguo za vitenge, sema tu ile nchi imeathiriwa na vita ila isingekuwa hivo wangekuwa mbali, maana hata nanasi na kahawa za manyovu wao huja kuzichukuwa na wanaviwanda vya kusaga kahawa na kuzifanya kama majani ya chai,

Inasikitisha kwa Tanzania kila kijana akitaka kuinuka wanamdidimiza kwa tozo mbali mbali zisizo na maana,
 
Mkuu umeongea point kubwa sana.

Lakini bongo Kuna changamoto sana halafu hatupendani sisi kwa sisi, nikupe mfano wangu Kuna shamba huku Sumbawanga ni la kanisa bhasi nikaomba Ekari 40 nilime alizeti Toka mwaka Jana mwezi wa9, mwezi wa 10 mwishoni ndio nilikuja kuonyeshwa shamba tena ni baada ya kuwasumbua sanaaa.

Bhasi msimu wa kulima alizeti huku ni mwezi February kwasababu mvua zinakua zimepungua kiasi, kipindi nasubiri msimu nashangaa huyo mzee kanifuata ananiambia shamba alilonipa amempa mtu mwingine, DAAH NILISIKITIKA SANA NIKASEMA POA HAINA SHIDA.

Kuna eneo niliomba nilime kiangazi kwasababu maji yapo karibu walinibania kunipa eti hapo Kuna mtu huwa analima Amekuja mkenya mmoja hivi wamempa eneo lilelile nililoomba... NIKAPIGA MOYO KONDE SITAKUJA KUOMBA TENA SHAMBA KWA HILO KANISA JAPOKUA NASALI HAPOHAPO KANISANI.

BONGO NYOSO SANAAAA, TUMEJAA HILA, WIVU NA HUSUDA NA HIZI TABIA HATA VIONGOZI WETU WAKUU WA KISERIKALI WANAZO, YAANI WAKIONA CHALIII UNATAKA KUFANYA VITU VIKUBWA UTAONA VIUZIBE VINGI SANAAAAA.
Huenda shida ulikuwa unaomba ulime for free yani profit for zero investment.
Sasa hivi kila jambo pesa mkuu.
 
Me natokea Kigoma kasulu na nimefanikiwa kuishi Burundi pia aisee Burundi wanatuzidi mbali tu maana mhogo huo wanatengeneza Yebo yebo wanakuja kutuuzia, haya kule wanaviwanda vya nguo za vitenge, sema tu ile nchi imeathiriwa na vita ila isingekuwa hivo wangekuwa mbali, maana hata nanasi na kahawa za manyovu wao huja kuzichukuwa na wanaviwanda vya kusaga kahawa na kuzifanya kama majani ya chai,

Inasikitisha kwa Tanzania kila kijana akitaka kuinuka wanamdidimiza kwa tozo mbali mbali zisizo na maana,
Wabongo ni wavivu sana halafu visingizio ni Bilion moja
 
Makopa au muhogo Tanzania huzalishwa kwa wingi mkoa wa kigoma kuanzia kasulu na kibondo, na maeneo ya makere, kagera nkanda na kiasi mkoa wa geita hasa maeneo ya Runzewe masumbwe kule
 
Matumizi ya muhogo kwa mataifa uliyotaja ni sahihi lakini pia ukifika Bujumbura kuna wachina hutumia ile mihogo kutengeneza yeboyebo lakini pia kuna viwanda vya pombe kali mfano wa konyagi mjini Kampala na Bujumbura ambavyo hutumia muhogo wa kigoma ukiacha matumizi ya Ugali
 
Kilichoathiri mfumo wa utafutaji kwa Watanzania ni uoga, ukienda Zambia warundi ni matajiri wa kubwa wa maduka makubwa ya bidhaa hasa miji kama kitwe na lusaka, lakini ukirudi Malawi wafanyabiashara wakinyarwanda ni wengi sana ndio hao wenye malori ya kusafirisha karanga kutoka malawi kwenda kenya na kutoka kwao kulisababishwa na shida walizopitia za vita lakini pia spirit ya utafutaji ni kubwa sana, watanzania ujamaa uliwaathiri sana
 
Kwa mfano mkoa wa Kigoma una madini aina ya chokaa, ambapo chokaa hiyo hutumika sana kwenye ujenzi nchini congo maana cement wao iko juu lakini anakuja mrundi anachukua chokaa anaivusha uvira anapiga pesa maana uvira tu pale ina bei kubwa
 
Lakini pia Warundi huchukua chumvi ya mawe nchini Tanzania hasa mikoa ya pwani, Lindi na mtwara na wakifika kwao huifanyia packaging na kuiuza Burundi na nyingine wnaexport kwenda Congo na Afrika ya kati
 
Wanyarwanda wao huingia Singida na Tabora hasa sikonge kipindi cha msimu wa asali then wakiifikisha kwao huifanyia packaging na kuiuza sana uarabuni, na ulaya kwenye viwanda vya madawa na kuna matajiri wakubwa kupitia hiyo hata kenya hufanya hivo hivo kwenye asali ya Tanzania
 
Watanzania tunakalia kulia lia mambo yasiyoeleweka hapo nitajaribu kueleza kwa kifupi nini nafahamu juu ya mataifa tajwa hapo juu
 
kenya wananunua avocado baadhi ya mikoa hapa nchini wanafanya export uae,saudi,qatar,oman
wameenda mbali mpaka chai,malimao,na mazao haya yapo sijawahi kujua ni nini kinafanya watuzidi kete namna hiyo
 
Sio kuridhika ni kukosa exposure na umaskini wa akili lakini pia hatujui kua Fursa unaifuata iliko na Fursa haikukuti ukiwa umekaa hii ilifanya nitembee sehemu kibao kujua nini wengine wanafanya
Zamani hapo nyuma sikua napenda kbs kusafiri...haikua hobby...sasa hv nnasafiri had unaona aibu kuaga😀😀...na pia nilikua najua matajiri wako mijini tu...kumbe nilikua najidanganya sana..yes kwenda sehwm za mbali mbali kunabadilisha sana mitazamo..usemayo ni kweli...mtu mwingine ukimwambia nenda sehem fulan anaanza kukuambia nan atanipokea! wtf
 
Back
Top Bottom