kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,199
- 18,470
Last edited by a moderator:
Ooyooo sasa naona kama mmechemsha maana naona hizi picha zinajirudia rudia na kama hamuna picha semeni mupewe muwongozo kama kule na zipo s ehemu tele kama vile soko la kariakoo kuna uchafu na uwanja wa ndege matundu hakuna na maji shida na makaka poa na madada wale hujieta masista duu na feri na kuna vivutio vingi tu na wabugea sembe na bangi kama kitale na muve zake ni safi san a na hizi za kurudia huwa kinyaaa tena