Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
kuna wengine hawana mawasiliano kabisa utakuta mme karudi kutoka job anakuta kikaratasi kimeandikwa unga, sukari, majani ya chai na mafuta ya kula yameisha halafu nae anachukua kalamu anajibu sina hela no kuongea. Ila tubadilike kidogo tuzungumze yanayotuhusu na wenzi wetu
kuna familia utakuta wanaenda kanisa moja ila kila mtu anatoka kivyake na hata kurudi hivyo hivyo utadhani wamelazimishwa kukaa pamoja
Mbona kwenye uchumba hayo yote yaliyoorodheshwa yanafanyika ila kwenye ndoa tunasema sio tamaduni zetu tubadilike (pamoja na mie) dunia sasa ni utandawazi na ni kijiji tuige mazuri kutoka kwa wenzetu maana kila siku tunashindia mitamthilia lakini hata atuigi yale mazuri kwenye mapenzi
Hii sasa tofauti, from wht I know and believe your wife/husband is the closest friend you ever have! And therefore no special treatment that is important than just love, the unconditional love.