Sio utamaduni wa wanaume wa Kitanzania/Africa

kuna wengine hawana mawasiliano kabisa utakuta mme karudi kutoka job anakuta kikaratasi kimeandikwa unga, sukari, majani ya chai na mafuta ya kula yameisha halafu nae anachukua kalamu anajibu sina hela no kuongea. Ila tubadilike kidogo tuzungumze yanayotuhusu na wenzi wetu

kuna familia utakuta wanaenda kanisa moja ila kila mtu anatoka kivyake na hata kurudi hivyo hivyo utadhani wamelazimishwa kukaa pamoja

Mbona kwenye uchumba hayo yote yaliyoorodheshwa yanafanyika ila kwenye ndoa tunasema sio tamaduni zetu tubadilike (pamoja na mie) dunia sasa ni utandawazi na ni kijiji tuige mazuri kutoka kwa wenzetu maana kila siku tunashindia mitamthilia lakini hata atuigi yale mazuri kwenye mapenzi


Hii sasa tofauti, from wht I know and believe your wife/husband is the closest friend you ever have! And therefore no special treatment that is important than just love, the unconditional love.
 
Hii sasa tofauti, from wht I know and believe your wife/husband is the closest friend you ever have! And therefore no special treatment that is important than just love, the unconditional love.
ni kweli ndugu yangu unayoyasema ila kwa wengi ni tofauti waTZ hatupendi kuonyesha mapenzi kwa wenzetu kwa uwazi tunaficha ficha ndio maana mtu anakuwa hana uhakika kama unampenda kweli

Kuna kipindi nilikuwa naenda kuogelea na wife na mtoto wangu (kipindi tuna mmoja) kule Wet n Wild kuna mama mmoja akaja kumwambia wife kuwa tunamdekeza mtoto na kumfanya aone maisha mazuri so siku tukiwa hatupo hatateseka sana nilishangaa sana ile kauli maana nani atakayemwonyesha mtoto kama anampenda kwa vitendo kama si wazazi wake
 
Kizazi cha Dot.Com hiki enzi zetu haya mambo tulikua tunamaliziana chumbani tuu!! Yaani mtoto aone unamkiss mama live do ilikua soo!!:becky:
 
Mie mwenyewe kusema kweli nilikuwa naona kama vile siko Confortable mzee kunipitishia mkono kiunoni au kushikana mikono na hata kunikiss mbele za watu najitahidi kuonyesha kama am ok kumbe moyoni lol :biggrin1:..not sure kama ni ushamba ,najua yote hii inachangiwa na malezi toka mwanzo katika familia zetu:gossip:

Ila kama hujazoea hayo mambo ni vigumu sana. Mimi mwanzo nilikuwa naona noma lakini sasa imebidi nijizoelee tu, maana yeye anasema anapenda na eti hawezi kujizuia. ananichekeshaga anasema kama sipendi basi tukiwa barabarani kila mtu apite upande wake ili watu wasijue kama tupo wote. Sometimes utamsikia "natamani kukubeba", barabarani hapo!
 
Hahahahahaha kweli mkuu anamtanguliza wife/demu mbele yeye anakuja nyuma anaangalia watu wanavyo mthaminisha

Kuna member guest hapa anasema eti ukiona mwanaume wa KIAFRIKA anamfungulia mwanamke mlango wa gari kuna 2 either gari mpya au mke ni mpya akishakuwa used baasi atafungua mwenyewe :becky::becky:
 
Ila kama hujazoea hayo mambo ni vigumu sana. Mimi mwanzo nilikuwa naona noma lakini sasa imebidi nijizoelee tu, maana yeye anasema anapenda na eti hawezi kujizuia. ananichekeshaga anasema kama sipendi basi tukiwa barabarani kila mtu apite upande wake ili watu wasijue kama tupo wote. Sometimes utamsikia "natamani kukubeba", barabarani hapo!
huyu wa kwako mkali inaonyesha huyo kama ikitokea mnakuwa wawili watu hawawaoni anakurukia mara moja na kuanza kukupeti peti
 
1. Kumfungulia mwanamke garia apandapo au kushuka na kumfunga mkanda kabla ya gari
kuondoka

2. Kumshika mkono kwenye hadhara wakati wa kutembea e.g evening walk au kwenye
ocassion kubwa inatokeaga siku ya harusi tu.

3. Kumsifia pale panopostahili e.g nguo imekupendeza kweli....u look excellent on those
clothes. U had wonderful presentation I rly like it.....

4. Kumpigia simu muda wa mchana kumtakia mlo mwema na kujua siku yake inakwendaje.
Au kumwachia ki-note asubuhi kwenye fridge au nyuma ya mlango chenye ujumbe wa
mapenzi e.g u luk so peaceful, beautiful and at peace when u sleep

5. Kumpa au kumnunulia maua katika vipindi tofauti

Wewe sasa naona kuna mahusiano ya wawili wapendanao wanakuumiza sana na unataka uwasambaratishe. tafadhali naomba uwe gentleman!
 
Kuna member guest hapa anasema eti ukiona mwanaume wa KIAFRIKA anamfungulia mwanamke mlango wa gari kuna 2 either gari mpya au mke ni mpya akishakuwa used baasi atafungua mwenyewe :becky::becky:

:becky::becky::becky::becky::becky: hii ipo sana hata pale unapo fukuzia akikuomba salio jero wewe unaongeza buku lakini ukisha mega tu hata akikutumia tafadhari nipigie njemba ipo kimyaaaaaaaaaaaa wanaume wa kibongo wengi ndo zao kipya kinyemi
 
Kwa kweli nami naonaga noma mamaa kunishika mbele ya watu. nadhani huu ni utamaduni tu!
 
Kwa kweli nami naonaga noma mamaa kunishika mbele ya watu. nadhani huu ni utamaduni tu!
ila wabongo tuna matatizo nyumba ndogo inakupokea na mabusu tena hadharani unajifanya uoni noma ila mkeo aibu sijui mchawi wa mahusiano ya watz ni nani?
 
Hakuna kitu kinachoitwa utamaduni wa Mwafrika au Mtanzania.

Kumiliki gari na kuliendesha ni utamaduni wa mwafrika? Kama hivyo si ndivyo mbona mwayamiliki na mnayaendesha? Hapa ni mambo kuiga. iwapo unaweza kuinga mambo na yakakubalika basi unakuwa utamaduni mpya wa kwako.
 
Wanawake nao wanapenda kufanyiwa vitu hivyo ulivyovitaja. Si vibaya tukifanya hivyo kwani kuna mambo mengi si utamaduni wetu lakini tunafanya! Sioni ubaya wowote ukimfanyia mpenzi/mke wako mambo hayo!

I agree with you 110% mila nzuri huigwa na mila mbaya hupuuzwa.... ikiwa kitu kina manufaa hata kidini kinakubalika lakini kama ikiwa kinamadhara basi kinafaa kiepukwe.....
 
Hahahaha anaogopa watu wakijua kesho atashindwa kumega binti mwingine utambania ridhiki...
Du mzee perspective zako balaa ...............
Hahahahahaha kweli mkuu anamtanguliza wife/demu mbele yeye anakuja nyuma anaangalia watu wanavyo mthaminisha

Hapa ndiyo umenichosha kabisa..............................
 
Back
Top Bottom