Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
Kwa Hisani ya MIsupu
Cheki hapo chini SIoi anavyokubalika kwa waarumeru
Lakini yote kwa yote katibu mwenezi Nape nauye kakimbilia Dar
Hii imetuuma sisi vijana tupendao mabadiliko kuona kijana mwenzetu tuliye mtegemea
anakimbilia dar akifanya siasa kwenye vyombo vya habari badala ya kwenda arumeru
mbona wengi wanaonekana hapo ni wale wanaoandika bongo flava kwenye mtihani?