mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
C mzanzibari yule?
Searching........E502 Server is not found!Try again laterI take that what you have said here about Marin is your wish for him. It is unfortunate that he negate every thing you have said about him. Eti kichwa...yes he has a big bald head with a small mass in it.
C mzanzibari yule?
mara nyingi mtangazaji mzuri katika interview, ni yule anae m'bana mtu kisha akamfanya afunguke ! Si lazima kuhukumu kuwa jibu ni sahihi, kimsingi ni kum'bana afunguke, hivyo mbinu moja wapo ni maswali mfululizo. Kama ungebahatika kusiliza interview za Tido akiwa BBC ungejifunza hili ! Mtu kama Yusuf Makamba katika Interview, yeye huwa ndio anadrive (niliwahi kumuona alivyomtesa Rioba) Lakini kwa Tido, Makamba alikuwa analia na kulalamika ''Tido mswalie Mtume (s.a.w) !'' pia mtindo huo anao Abdallah Majura. Mfano wa watu wabovu kabisa katika hiyo tasnia ni Maulid wa Kitenge !Nakubaliana pia kuwa jamaa ni mzuri, issue pia ni kuwa kipindi ni kifupi na hivyo hawezi kuacha mtu atiririke atakavyo, ni kudodosa kila mahala pa msingi! Ana uelewa mkubwa katika nyanja tofauti jambo linalompa nafasi kuweza kuuliza mabo mengi.
Huyu jamaa is Very intelligent.Nadhani mtoa mada haujamwelewa kdgo huyu jamaa,ni mfatiliaji mzur sana hii session ukiona ameingilia ujue anamsaidia au anataka amchalenji mhusika.Mf.Kama juz kati alikuwa akimhoji Dr.Ndalichako.Kama ulifatilia.Mi namkubali sana huyu jamaa kuliko watangazaj wengne.Also ana exposure kubwa cyo tu kwenye mahojiano bali hata ikija ile session ya sports.Cjui !bt ni kichwa
Mimi ni mfatiliaji mzuri sana wa kipindi cha Jambo cha asubuhi kupitia TBC 1, kwa sababu hunifumbua akili ya mambo mengi ambayo sikuyajua kabla. Tatizo linalonikera ni mtangazaji wa kipindi bwana Marin, mara nyingi anapowauliza maswali wageni waalikwa ambapo huwa maswali mazuri, sasa kabla mgeni hajamaliza kujibu vizuri jamaa anaingilia kati na kuzungumza mengine kabisa.. Wakati sisi watazamaji bado tunataka kupata jibu kiufasaha.
Fatilia hli mdau utaona mwenyewe. Jamaa huniboa sana. Japo kipindi ni educative.
kwani uzanzibari una nini?C mzanzibari yule?
wewe umelonga,jamaa ni moja ya watangazaji wazuri hapa bongo!Huyu jamaa is Very intelligent.Nadhani mtoa mada haujamwelewa kdgo huyu jamaa,ni mfatiliaji mzur sana hii session ukiona ameingilia ujue anamsaidia au anataka amchalenji mhusika.Mf.Kama juz kati alikuwa akimhoji Dr.Ndalichako.Kama ulifatilia.Mi namkubali sana huyu jamaa kuliko watangazaj wengne.Also ana exposure kubwa cyo tu kwenye mahojiano bali hata ikija ile session ya sports.Cjui !bt ni kichwa