Sio sawa kuilaumu Serikali kwa kila tukio la uhalifu

jaruri

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
716
459
Kuna dhana inaanza kujengeka miongoni mwa baadhi ya watu hasa CHADEMA,ya kuilaumu serikali kutokana matukio ya uvunjifu wa amani yanayo tokea nchini hadi kufikia hatua ya kupanga kuandamana,,

MOSI
Matukio ya uhalifu ni matokeo ya dhambi,anaweza kuyaondoa Mungu pekee anae badili roho ya uasi na kumgeukia yeye kama alivyofanya kwa Sauli na kuwa Paulo,,Binadamu wanavyo ishi hutofautiana katika namna tofauti na roho ya dhambi ilioko ndani huleta vifo na mauaji,unaihusishaje serikali na haya? Au hukumbuki kuwa yesu alisulubiwa na wanyanga'anyi pembeni yake? Hapo utajua uhalifu na uuaji haujaanza leo,,,Kenya watu wamekufa kibao mfano ni Chris Msando,,hii ikufumbue macho kuwa uhalifu upo popote,,,na hata huku vijijini watu wanauana na wapo wanao potea kwa sababu mbali mbali,ardhi,mapenzi,chuki,dhuluma n.k,,yote haya tuilaumu serikali? Dawa ya haya ni kubadili tabia na kumrudia Mungu,,na kila Mwananchi awe mlinzi wa mwenzake,,tutoe taarifa kwa jeshi la polisi tunapoona dalili za uhalifu,,,

PILI
Mauaji yanayotokea kwenye maandamano,,,Hivi kama polisi ambao wana dhamana ulinzi wametoa onyo kuwa watu wasiandamane kwa sababu za kiusalama,,wewe unalazimisha maandamano tena unaziba njia na kuathiri shughuli za watu wengine,and then unarushia polisi mawe unataka nini zaidi ya vurugu? Kabla hujailaumu serikali badili njia ya kutaka hoja yako isikike ,maandamano sio kila kitu
 
Lazima Serikali ilaumiwe kwa sababu ndio yenye dhamana ya kuhakikisha ulinzi na usalama wa wananchi wake.
 
Kuna dhana inaanza kujengeka miongoni mwa baadhi ya watu hasa CHADEMA,ya kuilaumu serikali kutokana matukio ya uvunjifu wa amani yanayo tokea nchini hadi kufikia hatua ya kupanga kuandamana,,

MOSI
Matukio ya uhalifu ni matokeo ya dhambi,anaweza kuyaondoa Mungu pekee anae badili roho ya uasi na kumgeukia yeye kama alivyofanya kwa Sauli na kuwa Paulo,,Binadamu wanavyo ishi hutofautiana katika namna tofauti na roho ya dhambi ilioko ndani huleta vifo na mauaji,unaihusishaje serikali na haya? Au hukumbuki kuwa yesu alisulubiwa na wanyanga'anyi pembeni yake? Hapo utajua uhalifu na uuaji haujaanza leo,,,Kenya watu wamekufa kibao mfano ni Chris Msando,,hii ikufumbue macho kuwa uhalifu upo popote,,,na hata huku vijijini watu wanauana na wapo wanao potea kwa sababu mbali mbali,ardhi,mapenzi,chuki,dhuluma n.k,,yote haya tuilaumu serikali? Dawa ya haya ni kubadili tabia na kumrudia Mungu,,na kila Mwananchi awe mlinzi wa mwenzake,,tutoe taarifa kwa jeshi la polisi tunapoona dalili za uhalifu,,,

PILI
Mauaji yanayotokea kwenye maandamano,,,Hivi kama polisi ambao wana dhamana ulinzi wametoa onyo kuwa watu wasiandamane kwa sababu za kiusalama,,wewe unalazimisha maandamano tena unaziba njia na kuathiri shughuli za watu wengine,and then unarushia polisi mawe unataka nini zaidi ya vurugu? Kabla hujailaumu serikali badili njia ya kutaka hoja yako isikike ,maandamano sio kila kitu
unataka alaumiwe nani anaya kusanya kodi nchi nzima halafu maendeleo yanapelekwa chattle zaid?
 
Maendeleo yapo kwa usawa,,mbona mi sipo chato na nayaona? Au standard gauge,elimu bure na bombadier ziko chattle tu?
 
Maandamano ni haki ya kikatiba ila pale tuu inapobidi, lakini yasiathiri usalama wa watu wengi na shughuli zao za kiuchumi. Changamoto hapa ni pale watu wenye chuki binafsi, maslahi binafsi na wasio na nia njema wanapotaka kutumia njia hii kuhamasisha na wengine ili kutimiza matakwa yao. Huyu dada yuko Marekani pengine anamawazo chanya na anaongea points lakini tujiulize na tutambue kuwa hata Baba/Mama aliyekuzaa anamapungufu yake, Mke/ watoto/ marafiki wanamapungufu ila bado tunasamehe na kuendelea kuishi sasa iwe jeshi la polisi na viongozi wa kiserikali.
Tunahaki ya kuuliza na kuhoji kupitia wabunge na kuandamana inapobidi lakini lazima tukiri mapungufu.
Kuongoza watu ni jambo linalohitaji hekima na busara na sio mihemko iliyojawa na chuki.
 
Back
Top Bottom