Watanzania hata hatueleweki vitu kama hvyo vikifanywa nchi nyingine mnasifiaaa lakini vikifanywa kwetu mnaponda hatutaki maendeleo ya vitu hivi hayo mambo sindio anayafanya jpm tena zaidi ya hayo unafikiri sgr ingetengeneza kama hizo ngapi au mradi wa umeme wa rufiji hila kwenu mnaponda tu wakifanya jirani fresh.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.