kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Habari iwe nanyi!
Nashukuru wazalendo wa taifa hili walioleta kero za hospitali zetu hasa MNH-Mloganzila, kwa kweli kuona tatizo kubwa kama hilo na kulisema ndiyo uzalendo wenyewe. Kukaa kimya huku mambo yanaharibikia tena ya kupoteza wapendwa wetu ni sawa na uhaini.
Nashukuru wazalendo wa taifa hili walioleta kero za hospitali zetu hasa MNH-Mloganzila, kwa kweli kuona tatizo kubwa kama hilo na kulisema ndiyo uzalendo wenyewe. Kukaa kimya huku mambo yanaharibikia tena ya kupoteza wapendwa wetu ni sawa na uhaini.