Sio kweli chakula cha Rais lazima kipimwe kabla ya kuliwa

Vitu ambavyo Rais kabla ya kula lazima vipimwe Ni vile vya kupikwa kwa Mazingira Kama ya hotel Au event maalum kuepuka sumu Ila sio Kila anachokula lazima kipimwe.Hakipimwi mkuu wanaonjeshwa wapishi waliopika
Huu ndio ukweli mkuu,wanaobisha wabishe,niliona kipindi cha jakaya kule kigamboni kambi ya navy alikuwa anakuja breakfast na lunch,ikateuliwa kampuni ya catering kupika kwenye ile event,Kila mara usalama wanapita pita,muda wa chakula kupelekwa sehemu ya kulia chakula ulipofika maana haikuwa kiinaliwa mahali kilipopikiwa,wakati kinawekwa kwenye vyombo maalum vya buffet usalama walikuwa wanamuonjesha mkuu wa ile catering company kila chakula kilichopikwa.Ikafika Lunch utaratibu ukawa ule ule wakuonjeshwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitu ambavyo Rais kabla ya kula lazima vipimwe Ni vile vya kupikwa kwa Mazingira Kama ya hotel Au event maalum kuepuka sumu Ila sio Kila anachokula lazima kipimwe.Hakipimwi mkuu wanaonjeshwa wapishi waliopika
Huu ndio ukweli mkuu,wanaobisha wabishe,niliona kipindi cha jakaya kule kigamboni kambi ya navy alikuwa anakuja breakfast na lunch,ikateuliwa kampuni ya catering kupika kwenye ile event,Kila mara usalama wanapita pita,muda wa chakula kupelekwa sehemu ya kulia chakula ulipofika maana haikuwa kiinaliwa mahali kilipopikiwa,wakati kinawekwa kwenye vyombo maalum vya buffet usalama walikuwa wanamuonjesha mkuu wa ile catering company kila chakula kilichopikwa.Ikafika Lunch utaratibu ukawa ule ule wakuonjeshwa!
Dah huyo jamaa anaye onjeshwa kuanzia breakfast hadi Lunch si atapasuka tumbo ?

Maana breakfast ya waheshimiwa huwa sio tu andazi tuwili na chai ya rangi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Kweli Hata Mie ningemshikia dafu Au Hata ku brush viatu Na sijaandika kwa Chuki Kama ulivyodhani nimeandika kuonesha modern mode of Slavery

Sio ngazi ya Rais Hata Ngazi ya Ukurugenzi wapo wanapokea Mabosi wao Mabegi wakishashuka Kwenye Magari japo sio Madereva wala wahudumu wa Ofisi

Bila ya Unafiki Maisha hayaendi vyema

Kuna ka ukweli kwny hili ingawa ni ukweli mchungu,hahah.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah huyo jamaa anaye onjeshwa kuanzia breakfast hadi Lunch si atapasuka tumbo ?

Maana breakfast ya waheshimiwa huwa sio tu andazi tuwili na chai ya rangi

Sent using Jamii Forums mobile app
Just a little bit sio full plate mkuu.Na wakati mwingine hata rais hali hicho chakula analetewa chakula kutoka ikulu!Kuna kipindi Geita alikuja mama Samia kula dinner na lunch lakini hakula chakula cha caterer aliletewa chakula nadhani kutoka kwa mkuu wa wilaya au mkuu wa mkoa
 
Nawewe ni mmoja wao umekuja kutuchora tu hapa..

Ukute wewe ndio muuza madafu
 
Aisee
Yani kitu kidogo kama hiko kimekushinda kuelewa

Ok ni hivi kina testiwa tu endapo kama kuna uwakika kuwa atakuja kula.sasa kule mwanza hakuna aliyejua rais ataenda kula pale na hata hayo madafu so ni vigumu yawe na sumu. Ila kama ingejulikana kuwa ana ratiba ya kuyala yange testiwa
Kitu kama dafu huwa linapigwa sindano ya sumu na huwezi kujua so hakuna kitu kinafanyika bila mpango.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa una matatizo makubwa sana ya akili kiongozi. Kuna maandiko katika kitabu cha Matayo 22, mstari wa 15-22, yanasema hivi;
15:Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake. 16:Basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja na wafuasi wa kikundi cha Herode. Wakamwuliza, “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na kwamba wafundisha njia ya Mungu kwa uaminifu; humwogopi mtu yeyote, maana cheo cha mtu si kitu kwako. 17:Haya, tuambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa kodi kwa Kaisari?” 18:Lakini Yesu alitambua uovu wao, akawaambia, “Enyi wanafiki mbona mnanijaribu? 19:Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha. 20:Basi, Yesu akawauliza, “Sura na chapa hii ni ya nani?” 21:Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.” 22:Waliposikia hivyo wakashangaa; wakamwacha, wakaenda zao."

Acha Unafiki Kijana.
Hayo maandishi yako ya bibilia kawaandikie wapumbavu wenzako wa kiyahudi.Mimi na matayo na kaisari wapi na wapi.Kaisari waulize warumi mimi raisi wangu Magufuli.Halafu ukiniita tena sina akili nakutukana.
 
Binafsi naona watu wana maoni mengi kuhusiana na Suala hili lakini Ukweli ni Kuwa Yule jamaa anaeuza madafu na yule wa miwa walikuwa katika shughuli zao za kawaida tu na hakuna cha Usalama wa taifa kupanga wala nini maana Yule jamaa hawezi sema atauza madafu yaliyowekwa Sumu na Hata yeye hakujua kama Rais anaweza nunua dafu kwakee...! Ingekuwa kula labda mhahawani hapo mngesema lazima movie ipangwe maana Kuwekewa sumu ni rahisi... Ila madafu 30 yale yote mpaka ukampa dafu lenye sumu ni kazi sana maana anachagua mwenyewe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom