FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,170
Chapa kazi wewe wacha porojo. Hakuna serukali itakueekea pesa mfukoni.Lazima uwatetee maana sababu unazo tena zaidi ya tuzionazo....
Mliotumbuliwa mnajionesha wazi wazi.
Chapa kazi wewe wacha porojo. Hakuna serukali itakueekea pesa mfukoni.Lazima uwatetee maana sababu unazo tena zaidi ya tuzionazo....
Mchagga! Kamchapa mpaka mzee Sabodo.Mbowe anafanya biashara ktk siasa ndiyo maana ruzuku ni marufuku kuhoji.
Hata visima vilivyotakiwa kuchimbwa na kujenga ofisi kwa hii cheque huwezi kihojiView attachment 1170983
Kugawa chakula cha msaada kwa wananchi wake
Ni jamii imekosa matumaini au wewe umekosa matumaini?
One of the disadvantages of Socialism is That People expect and demand too high from the Government.
No siyo kweli;unapoilinganisha USA na Tz huon kama unatukosea sana?unaijua per capita ya mu USA na mtz?think big
Kama haikutengeneza hayo mazingira?Nani kakwambia kuwa wanataka kukawiwa chakula na serikali, serikali inatakiwa itengeneneze mazingira ili mwananchi atafute chakula akipate
Chapa kazi wewe wacha porojo. Hakuna serukali itakueekea pesa mfukoni.
Mliotumbuliwa mnajionesha wazi wazi.
Ile water dispenser ipo pale imewekwa na kampuni? Kwani gharama ya kununua maji makubwa ya elfu 6 kila baada ya siku 2 au 3,kwa kampuni yenye ofisi Samora avenue wewe unaona ni big deal? Hata kampuni yangu ya kuchomelea huku mkoani nimeweka water dispenser, tena kuna sukari na kahawa wakihitaji!Unamzungumzia anaefanya kazi tena ofisi ina water dispenser kuwa vyuma vimemkazia?
Sijaelewa hapa nyumbu mie
Jibu swali lake . Nani kaua soko la korosho ?!.Wewe ni Mkulima wa Korosho?
Analipwa mshahara kama alivokuwa akilipwa hapo kando halafu vyuma vimemkazia anapiga pasi ndefu?Ile water dispenser ipo pale imewekwa na kampuni? Kwani gharama ya kununua maji makubwa ya elfu 6 kila baada ya siku 2 au 3,kwa kampuni yenye ofisi Samora avenue wewe unaona ni big deal? Hata kampuni yangu ya kuchomelea huku mkoani nimeweka water dispenser, tena kuna sukari na kahawa wakihitaji!
Walioacha kununua korosho wameua soko bila shakaJibu swali lake . Nani kaua soko la korosho ?!.
Pumba tupu...Awamu hii ya uongozi imejitahidi kugusa kila mfumo katika maisha ya jamii kwa jamii za aina zote kwa nia tu ya kutaka mabadiliko wakiamini kila mabadiliko ni maendeleo.
Hivyo mzunguko wa fedha umepunguzwa, kilimo kimeguswa, biashara zimeguswa, ajira zimeguswa,CAG ameguswa, deni la taifa limeguswq n.k
Ukiangalia vyote vilivyoguswa lengo limekuwa moja tu, kufyonza chochote kitakachoonekana ili kutekeleza miradi inayoitwa 'ya maendeleo'.
Matokeo yake ni kuwa jamii imejikuta na mifumo ya maisha ambayo sio rafiki kwao na mzunguko kidogo sana wa fedha kwenye uchumi usiotosheleza biashara nyingi kujiendesha kwa 'kujikimu'.
Wazoefu wa biashara wameamua kufunga biashara na kuhifadhi mtaji kidogo uliobaki mpaka mawimbi yatakapotulia.
Ambao hawana njia mbadala wamelaimika kuendelea na biashara huku wakila mtaji kidogo kidogo maana hamna namna!
Ukiangalia jamii kwa jicho la uerevu utaona maisha tuliyozoea yanaenda kukwama kwa wakati mmoja.
Serikali inatekeleza miradi mingi isiyokuwa na hakika ya kufanikiwa na hata ile yenye dalili za kufanikiwa sio ya kuleta matunda yanayoonekana katika kizazi hichi, siongelei kijacho maana sijui hata kama kitazaliwa!
Jamii kubwa imekosa matumaini. Hakuna hatari kama jamii kukosa matumaini. Jamii inayokosa matumaini haijaribu tena, haioni fursa, haijali, haifanyi kwa maslahi maana haioni kesho yake!
Sijui kama kuna mtu mmoja kwenye Serikali hii anajua tofauti ya mabadiliko na maendeleo. Sijui kama kuna mtu anaejua kuwa hata hayo mabadiliko yanahitaji maandalizi ya hatua kwa hatua!
Yes! Kila binadam anafanya chochote kwa maslahi yake kwanzaNalisha tumbo langu na familia yangu jamaa na rafiki kwa kiasi chake
Wengine wote nitawatumia kufikia lengo mama hata wewe ukijipendekeza nitakunyonya sana tu .
Hata Mo na Bahresa wanafanya hivo
Miradi mingi mikubwa haikwepeki. Angeiahirisha JPM huyo mwingine anayefuata angelazimika kuitekeleza.
Sasa ndiyo tunaishi ile theory ya opportunity cost, unayo mfukoni noti ya shilingi elfu kumi, ni maamuzi yake uinywe bia yote au ukishinde kiu chako ili hiyo noti ikufae.
Mkuu kama kila mabadiliko sio maendeleo, ningependa kujua kati ya mabadiliko yote mnayoyahubiri wapinzani yapi ni maendeleo na yapi sio, au yote mnayoyahubiri ni maendeleo??
Mkuu chunguza bila unafki utaelewa. Biashara yoyote duniani ikiingiliwa kwa tenki na serikali lazima ife. Mifano ipo mingi, ukitaka fanya researchWalioacha kununua korosho wameua soko bila shaka
Mara hii umeshasahau hata kichwa Cha mada yako.Ukitaka kuongelea mabadiliko wanayohubiri wapinzani, fungua uzi wake tuyaongelee!
Mimi naongelea uchumi unaoenda kukwama!
Kawaida, miradi ya maendeleo inategemea ukuaji wa uchumi kama factor mojawapo.
Sasa ukuaji wa uchumi haupo ila inayosemekana ni miradi ya maendeleo ndio inayoshika kasi!
Maana yake ni kuwa, fedha ambazo zingetumika kama kichocheo cha kukuza ajira ndizo zinazonunua ndege na fedha ambazo zingetumika kuongeza mzunguko wa fedha ndio zinazojenga reli.
Jamii zinashindwa kukidhi mahitaji ya msingi. Ng'ombe ambayo ingeuzwa buchani siku moja inauzwa siku tatu. Maana yake ni kuwa ;kodi ya bucha, mpimaji, mahitaji ya kujikimu, umeme, n.k yanakuwa mara tatu kwa ng'ombe yule yule mmoja.
Hapo hauoni mtaji unakufa?
Mapovu hayasaidii mkuu. Usikariri maisha, nenda na uhalisia wa dunia.Kwenye basic needs wewe unatumia hierarchy ya nani?
Unachagua daraja badala ya chakula halafu unaita practice ya opportunity cost.
Kwako wewe scale of preference ni concept inayoeleweka kweli?
Unajua juu ya marginal propensity to spend?
Wewe ni mchumi wa wapi kwanza?