Sio kila mabadiliko ni maendeleo, Watanzania tunaenda kuwa masikini kwa pamoja - collective poverty!

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
Awamu hii ya uongozi imejitahidi kugusa kila mfumo katika maisha ya jamii kwa jamii za aina zote kwa nia tu ya kutaka mabadiliko wakiamini kila mabadiliko ni maendeleo.

Hivyo mzunguko wa fedha umepunguzwa, kilimo kimeguswa, biashara zimeguswa, ajira zimeguswa,CAG ameguswa, deni la taifa limeguswq n.k
Ukiangalia vyote vilivyoguswa lengo limekuwa moja tu, kufyonza chochote kitakachoonekana ili kutekeleza miradi inayoitwa 'ya maendeleo'.

Matokeo yake ni kuwa jamii imejikuta na mifumo ya maisha ambayo sio rafiki kwao na mzunguko kidogo sana wa fedha kwenye uchumi usiotosheleza biashara nyingi kujiendesha kwa 'kujikimu'.

Wazoefu wa biashara wameamua kufunga biashara na kuhifadhi mtaji kidogo uliobaki mpaka mawimbi yatakapotulia.
Ambao hawana njia mbadala wamelaimika kuendelea na biashara huku wakila mtaji kidogo kidogo maana hamna namna!

Ukiangalia jamii kwa jicho la uerevu utaona maisha tuliyozoea yanaenda kukwama kwa wakati mmoja.
Serikali inatekeleza miradi mingi isiyokuwa na hakika ya kufanikiwa na hata ile yenye dalili za kufanikiwa sio ya kuleta matunda yanayoonekana katika kizazi hichi, siongelei kijacho maana sijui hata kama kitazaliwa!

Jamii kubwa imekosa matumaini. Hakuna hatari kama jamii kukosa matumaini. Jamii inayokosa matumaini haijaribu tena, haioni fursa, haijali, haifanyi kwa maslahi maana haioni kesho yake!

Sijui kama kuna mtu mmoja kwenye Serikali hii anajua tofauti ya mabadiliko na maendeleo. Sijui kama kuna mtu anaejua kuwa hata hayo mabadiliko yanahitaji maandalizi ya hatua kwa hatua!
 
Yaani Unakufa njaa kwenye Nchi kama Tanzania? Thats ridiculous.
Haujawahi kusikia mtu anakufa na njaa ndani ya paris ufaransa? Au kwa kuwa mji wa raha unadhani watu hawalambi garasa?-(Inspector Haroun)

SIe tunaisemea jamii yote ya TZ,haimaanishi mimi nikishiba basi waTZ wote watakuwa wameshiba,TZ hii kuna watu hata mlo m1 tu hapati,Zunguka mkuu ujionee ukikaa tu Muda wote Lumumba na kuangalia maghorofa ya k/koo na kupata Buku 7 zako za kila siku sio wote wanapata.
 
Another thing is That,
In life try to think and talk about yourself,
Focus on your Individual problems, mimi hii inenisaidia sana,
Unapojihangaisha kisemea watz Wote kuna mwenzako pembeni yako mambo yako juu ya Mstari,
Acha umimi mkuu,kama kina Mbowe wangekuwa na akili kama zako kwamba wao wameshiba na wanachezea hela tangia utoto wao,wasingeingia kwenye siasa!!!
 
Haujawahi kusikia mtu anakufa na njaa ndani ya paris ufaransa? Au kwa kuwa mji wa raha unadhani watu awalambi garasa?-(Inspector Haroun)

SIe tunaisemea jamii yote ya TZ,haimaanishi mimi nikishiba basi waTZ wote watakuwa wameshiba,TZ hii kuna watu hata mlo m1 tu hapati,Zunguka mkuu ujionee ukikaa tu Muda wote Lumumba na kuangalia maghorofa ya k/koo na kupata Buku 7 zako za kila siku sio wote wanapata.

Tatizo la wengi wenu mnaona kila anaetofaitiana na mawazo yenu basi ni Mwanachama wa Kijani, Thats how you think,
Huwezi fananisha Tz na Paris, unlike Paris, Tz kuna unlimited opportunities, huhitaji kuwa msomi kung’amua hili, Sioni sababu ya kumuonea huruma mtu anaekosa mlo kama tu hana ulemavu au hana tatizo lolote la kiafya, Bibi yangu ni mzee ana 80’s yupo kijijini na Ana Chakula cha ziada kwenye Ghala yake hajawahi kulala bila kula..

Narudia, Tanzania ni Nchi kubwa yenye massive idle arable land, Watu wengi ni wavivu wamejazana dar na they still complain kama wewe,
 
Tatizo la wengi wenu mnaona kila anaetofaitiana na mawazo yenu basi ni Mwanachama wa Kijani, Thats how you think,
Huwezi fananisha Tz na Paris, unlike Paris, Tz kuna unlimited opportunities, huhitaji kuwa msomi kung’amua hili, Sioni sababu ya kumuonea huruma mtu anaekosa mlo kama tu hana ulemavu au hana tatizo lolote la kiafya, Bibi yangu ni mzee ana 80’s yupo kijijini na Ana Chakula cha ziada kwenye Ghala yake hajawahi kulala bila kula..

Narudia, Tanzania ni Nchi kubwa yenye massive idle arable land, Watu wengi ni wavivu wamejazana dar na they still complain kama wewe,
We Ni jinga kabisa sijui Kama elimu uliyonayo ina faida yoyote
 
The Only problem here is
Out of 55million Tanzanians,
Only 2.5m are taxpayers,
Tafsiri ya hii ni kuwa tuna kundi kubwa ambalo ni Mzigo kwa hawa 2.5m,
They keep on demanding, always expecting a lot from the Government, pale ambapo serikali haiwapi wanachohitaji ndio complains kama hizi hujaa mitaani na majukwani na kwenye mitandao ya kijamii,
Watz Wengi hawawezi kujiwekea malengo yao binafsi na kujituma,
hasa hawa wenye digrii mojamoja ndio kutwa kufungua nyuzi humu kucomplain,
Vijana wasio na elimu wanapambana na wanatoboa huku mitaani,
 
Tatizo la wengi wenu mnaona kila anaetofaitiana na mawazo yenu basi ni Mwanachama wa Kijani, Thats how you think,
Huwezi fananisha Tz na Paris, unlike Paris, Tz kuna unlimited opportunities, huhitaji kuwa msomi kung’amua hili, Sioni sababu ya kumuonea huruma mtu anaekosa mlo kama tu hana ulemavu au hana tatizo lolote la kiafya, Bibi yangu ni mzee ana 80’s yupo kijijini na Ana Chakula cha ziada kwenye Ghala yake hajawahi kulala bila kula..

Narudia, Tanzania ni Nchi kubwa yenye massive idle arable land, Watu wengi ni wavivu wamejazana dar na they still complain kama wewe,
Nani kaua soko la zao la korosho? Wananchi wa mtwara unawaeleza ujinga gani?
 
But remember also that “changes may result/lead into improvements “ as per scientific research reports.
 
Tatizo la wengi wenu mnaona kila anaetofaitiana na mawazo yenu basi ni Mwanachama wa Kijani, Thats how you think,
Huwezi fananisha Tz na Paris, unlike Paris, Tz kuna unlimited opportunities, huhitaji kuwa msomi kung’amua hili, Sioni sababu ya kumuonea huruma mtu anaekosa mlo kama tu hana ulemavu au hana tatizo lolote la kiafya, Bibi yangu ni mzee ana 80’s yupo kijijini na Ana Chakula cha ziada kwenye Ghala yake hajawahi kulala bila kula..

Narudia, Tanzania ni Nchi kubwa yenye massive idle arable land, Watu wengi ni wavivu wamejazana dar na they still complain kama wewe,
Wanachama wa kijani huwa hawareason wao ni kusifia tu,mtu ameshusha nondo za maana nyie mnapinga tu na kumsifia mtu wenu hata kama anaboronga,Nyie kila siku mnalinganisha TZ na USA na juzi juzi taahira wenu musiba kasema kupotea/kuuawa kwa watu TZ ni sawa kwa sababu hata USA watu wanauawawa kila siku......USA ni taifa kubwa lakini kuna omba omba mtaani,kuna watu USA wanaishi kwenye mageto tu hawana mbele wala nyuma na ni taifa kubwa sana kiuchumi.

Tunazungumzia issue in general siwezi kutowazungumzia wanaokosa milo kisa mimi nimeshiba.
 
The Only problem here is
Out of 55million Tanzanians,
Only 2.5m are taxpayers,
Tafsiri ya hii ni kuwa tuna kundi kubwa ambalo ni Mzigo kwa hawa 2.5m,
They keep on demanding, always expecting a lot from the Government, pale ambapo serikali haiwapi wanachohitaji ndio complains kama hizi hujaa mitaani na majukwani na kwenye mitandao ya kijamii,
Watz Wengi hawawezi kujiwekea malengo yao binafsi na kujituma,
hasa hawa wenye digrii mojamoja ndio kutwa kufungua nyuzi humu kucomplain,
Vijana wasio na elimu wanapambana na wanatoboa huku mitaani,
Kama Kuna kaukweli flani hv
 
But remember also that “changes may result/lead into improvements “ as per scientific research reports.

The only change that has an impact is to change yourself,
That is an easiest way, you can not change the World,
Na kama nikipewa nafasi ya kutoa maoni ni Kitu gani kiwekwe sawa kwa Nchi yangu basi nitasema mfumo wa Elimu ambao ndio unapelekea huu mfumo wa Maisha,
Kumbuka namna tunavyoishi watz kwa Ujumla ndio hivyo serikali yetu ilivyo, Viongozi wa Serikali ni watz wanatoka kwenye huu mfumo wetu wa maisha, so ni plus or Minus mtz wa kawaida,
Dont expect too much from them, they loom after their interests just like you.
 
Wao wanaona wakijenga Terminal 3 na Mi ESIJIARA ndio wamemaliza wakati wananchi wanakufa njaa!!! ANKALI kafeli.

Wewe una mtazamao mfupi sana wa uchumi wa nchi, unaona kuwa ujenzi wa miundombinu ni ufujajaji, yaani ulitegemea kuwa pesa hizo wawawagawie wananchi.Siyo kazi ya serikali kuwagawaia wananchi hela za chakula.

Miradi ya miundombinu maana yake ni kutengeza ajira mbalimbali ambazo zitawapa wanachi uwezo wa kujiununulia chakula.

Elewa kuwa sehemu kubwa ya uchumi wa China ni kwa sababu ya ujenzi wa reli, barabara na majumba. Vile vile kumbuka kuwa baada ya mogogoro wa uchumi Marekani mwaka 2008, Serikali ya Obama ilipitisha American Recovery and Reinvestment Act ya mwaka 2009 ambayo ilitumia $720b kuwekeza kwenye ujenzi wa barabara na miundombinu mbalimbali nchini Marekani ili kunyaua uchumi tena kutoka bondeni ulikokuwa umeangukia, siyo kuwagawia watu kama freee samples.
 
Back
Top Bottom